Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Ni ajabu sana hawa vijana machachari wenye uwezo mkubwa wa kulinganisha na kufaninisha utendaji wa watu kushindwa kuzungumzia hata kwa kificho, tetesi zinazoenea mitandaoni za kutaka kutenganisha kofia ya Uenyekiti wa CCM na Urais wakiwa kimya mpaka muda huu na kushindwa kuongea chochote. Kwa kweli nimeshangaa sana?
Suala la utamaduni wa CCM wa kuvaa kofia mbili pamoja, vijana hawa wanalijua lakini kukaa kwao kimya wanafanya walete sintofahamu ya kinachoendelea baina yao. Pengine wana mpango na wapo nyuma ya mpango wa kitu fulani kwa sababu wahenga wanasema kimya kingi kina mshindo mkuu.
Swali: Je, hawa vijana wapo nyuma ya mkakati huo ovu? Tutafakari pamoja
Suala la utamaduni wa CCM wa kuvaa kofia mbili pamoja, vijana hawa wanalijua lakini kukaa kwao kimya wanafanya walete sintofahamu ya kinachoendelea baina yao. Pengine wana mpango na wapo nyuma ya mpango wa kitu fulani kwa sababu wahenga wanasema kimya kingi kina mshindo mkuu.
Swali: Je, hawa vijana wapo nyuma ya mkakati huo ovu? Tutafakari pamoja