Je, hawa ndio wapo nyuma ya mkakati wa kutaka kutenganisha Uenyekiti na Urais?

Je, hawa ndio wapo nyuma ya mkakati wa kutaka kutenganisha Uenyekiti na Urais?

Humu mara nyingi mijadala ya maendeleo hakuna,hata wewe pia labda uelewa wako ni mdogo zaidi huwezi nielewa.
Tunapoteza muda kujadili kofia ya uenyekiti what for?
Tunataka serikali itatue kero zetu,mambo ya ndani ya chama ni yao.

Mkuu hili jukwaa ni huru, kama una mijadala ya maendeleo ilete itajadiliwa, na sio kutaka wengine wajadili mijadala unayoitaka ww. Weka hiyo mijadala yako ya kero serikali ikutatulie, na uko huru kabisa maana hiyo ni haki yako.
 
Mkuu hili jukwaa ni huru, kama una mijadala ya maendeleo ilete itajadiliwa, na sio kutaka wengine wajadili mijadala unayoitaka ww. Weka hiyo mijadala yako ya kero serikali ikutatulie, na uko huru kabisa maana hiyo ni haki yako.
 
Mambo ya chama na ya serikali yanaingiliana na hiyo inasababisha double standards.
Labda unieleze mimi kama Mtanzania kofia ya uenyekiti inaniathiri wapi.
 
Ni ajabu sana hawa vijana machachari wenye uwezo mkubwa wa kulinganisha na kufaninisha utendaji wa watu kushindwa kuzungumzia hata kwa kificho, tetesi zinazoenea mitandaoni za kutaka kutenganisha kofia ya Uenyekiti wa CCM na Urais wakiwa kimya mpaka muda huu na kushindwa kuongea chochote. Kwa kweli nimeshangaa sana?

Suala la utamaduni wa CCM wa kuvaa kofia mbili pamoja, vijana hawa wanalijua lakini kukaa kwao kimya wanafanya walete sintofahamu ya kinachoendelea baina yao. Pengine wana mpango na wapo nyuma ya mpango wa kitu fulani kwa sababu wahenga wanasema kimya kingi kina mshindo mkuu.

Swali: Je, hawa vijana wapo nyuma ya mkakati huo ovu? Tutafakari pamoja
Amazing kama hii thread bado ipo hewani...

Moderator pls
 
Kuna vijana walitoswa na Magufuli wakanuna,wakatoswa na Samia wamechukia sana.
Na kwa Samia huyo atakaa miaka 10,wanazidi kuchanganyikiwa
 
Tanzania itabidi tubadilike,hoja za watu mara kofia ya uenyekiti haitusaidii,tutazame tunataka nini kama wananchi,hoja zetu ziwe maendeleo.

Na mnataka saa zote watu waongelee tetesi?na kama kuna mgawanyiko huko si ndio fursa sasa ya vyama vingine kujiimarisha.
Tunataka maendeleo,hiyo mambo ya kofia hatutaki kujua.

Mpeni mama muda afanye kazi.

Naamini hata mshaanza kumchokesha na madai kila siku.
Hapo issue sio maendeleo ya nchi bali ya chama cha CCM period. Do not mix the two maendeleo ya wananchi na maendelao ya chama.
 
Kwa muda ambao SERIKALI yetu imeemdeshwa na kiongozi mwenye kofia mbili inatosha kuwa case study ya namna serikali ilivyoongozwa/endeshwa. Aidha ni wakati sasa wa kuondoa mfumo huo ambao umekuwepo/umewekwa ili chama chenye mfumo huo kineemeke na uendeshwaji wa serikali/dola. Nadhani ni vyema Mh. Mama Samia apewe huo uwenyekiti ili: Mosi, atuletee KATIBA MPYA ambayo itaweka namna ya upatikanaji wa wajumbe wa Tume ya Uchaguzi huru ambayo haitaingiliwa na RAIS na vyombo vyake (Dola). Upatikanaji wa maafisa wa Idara ya Msajili wa Vyama. Kwenye Tume ya Uchaguzi watumishi wa Serikali za Mitaa wasihusike kwa namna yeyote.
 
Ongeza nyama kidogo basi kwenye huu uzi. Nimekuja mkuku kusoma orodha ya waliopo nyuma ili nikawasemehe kwa mama lakini hakuna nilichoambulia.

Weka majina yao uzi uchangamke basi hata kama ni ya kutunga mkuu.
emeric lapota,mbappe,foden,raniel nk
 
Back
Top Bottom