Je, haya Mahudhurio hafifu ya Poti wangu Marehemu Profesa Sarungi Karimjee Hall ni kuwa tuko busy au tumemsusa au Chuki yetu kwa Bintiye ni chanzo?

Je, haya Mahudhurio hafifu ya Poti wangu Marehemu Profesa Sarungi Karimjee Hall ni kuwa tuko busy au tumemsusa au Chuki yetu kwa Bintiye ni chanzo?

Sikutegemea kabisa kwa Mtu kama huyu Profesa Sarungi kupata haya Mahudhurio hafifu Karimjee Hall. Nimesikitika mno.
Kizazi cha sasa kinajua ni Adui, kumbe hao ndio maana halisi ya Tanzania kabla hayajaja kambo ya Chato wala Kizimkazi.
 
Time flies ndugu

Kumbuka Sarungi ni kizazi cha mwisho mwisho kilichokuwa bora kabisa na PURE

So vijana wengi wa sasa huendi hatumfaham vema kama sio wafuatiliaje vema wa mambo
Ni kweli.

Binafsi sina taarifa yake hata moja ukiacha kusikia ana mtoto mwanaharakati
 
Sikutegemea kabisa kwa Mtu kama huyu Profesa Sarungi kupata haya Mahudhurio hafifu Karimjee Hall. Nimesikitika mno.
Mila na Wazee wa Rorya wanataka kufukua wakazike Shirati? Utegi ?? Takuwaje sasaaaa???...nami.nilishangaa Chief kuzikwa Dar nikaguna na kusubiri maana muda weeeee ndio kila kitu
 
Back
Top Bottom