Je haya ni madini?

Je haya ni madini?

Uwesu Habibu

New Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
2
Reaction score
2
Habarini wana JF.

Poleni kwa majukumu. Je, kuna mtu yeyote anaeweza nisaidia kuniambia kama haya ni madini au la?

Naomba msaada wenu wakuu

IMG-20200229-WA0009.jpg
IMG-20200229-WA0010.jpg
IMG-20200229-WA0000.jpg
 
Kuna watu watakuja PM uwapige haswa maana hakuna namna
Swali lako linavutia [emoji23]


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
TumeipendaWenyewe Wala Hatukuandikiwa Barua Acha Ituue
 
Poa Mjomba Uwesu ngoja Madigala waje watakupa jibu.Mzee Baba naona Shavu lako.
 
Back
Top Bottom