Je, haya ni malezi bora Kwa kizazi chetu cha kesho? Tujitathimini

Kinachowasumbua jamaa zako ni ulimbukeni wa katoto kamoja ngoja waongeze wa pili ayo mambo sijui nyuchia sijui junio yataisha alafu wabongo tunapenda kuishi maisha ya movie sana kumbe wenyewe wala hawaishi ayo maisha ni upumbavu na uzwazwa tu
 
Kinachowasumbua jamaa zako ni ulimbukeni wa katoto kamoja ngoja waongeze wa pili ayo mambo sijui nyuchia sijui junio yataisha alafu wabongo tunapenda kuishi maisha ya movie sana kumbe wenyewe wala hawaishi ayo maisha ni upumbavu na uzwazwa tu
Kweli kabisa mkuu, maana enzi zetu
wengine tulikua tukipigwa tu jicho na mzazi mbele ya wageni, unafyata mkia 😃 🙌 na hapo ujue wakiondoka wageni utajua hujui hiyo siku.

Mzazi akienda tu kusindikiza wageni, akirudi anakuta umejifanya umelala, utaulizwa swali la Kwanza ,"umeanza lini kulala bila Kula? 😃
 
nakumbuka hii ishaletwaga humu
 
Wengi sana wanalea watoto kama yai..kuna kamoja nichukua kiboko na kukachapa wazazi wake hawakuniambia kitu mpaka naondoka,uliisha mwaka jamaangu hanipii cm namm nikauchuna wanakera sana kina junia.
 
Kinachowasumbua jamaa zako ni ulimbukeni wa katoto kamoja ngoja waongeze wa pili ayo mambo sijui nyuchia sijui junio yataisha alafu wabongo tunapenda kuishi maisha ya movie sana kumbe wenyewe wala hawaishi ayo maisha ni upumbavu na uzwazwa tu
Ndo maisha hayo hayo wazungu wanaishi. Mtoro hagombwi wala hapigwi, ndo mana mitoto ikikua inaweza ikawatukana wazazi na kuwadharau
 
Ujinga umefungwa moyoni mwa mtoto na fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.

Usinyime mtoto mapigo, maana utamuondolea na kuzimu.

Akiwa mtoto mzuri atafaidi upendo, akileta zengwe anakula viboko safi then upendo unaendelea, siwezi leo poyoyo, samaki mkunje angali mbichi
 
Sahihi kabisa mkuu
 
Sisi ni matokeo ya wazazi wetu

Kwa kujua au kutokujua wazazi wanaweza kutuharibu au kututengeneza sawa sawa watakavyo amua wenyewe.
 
Hao hao ndio baadae wakiota misuli yenye nguvu tu wanaanza kukushika matai kama kijana mwenzie, kumbe ni ulipuuzia alipokua mdogo

Samaki mkunje angali mbichi na mtoto umleavyo ndivyo akuavyo viwe applied mapema kabisa ani
 
Hii ni mara ya 4 naona uzi huu huu wa junia na mgeni na baba na mama yake.
 
Hii ni mara ya 4 naona uzi huu huu wa junia na mgeni na baba na mama yake.
Huu Uzi ulikuwa humu kitambo Sana. Wanafanya kuutoa humu, wanaupeleka Facebook. Then wanaurudisha tena humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…