Je, hii 6th Sense ya Mtu Jasusi (Njagu) huwa anakuwa amezaliwa nayo au anafundishwa huko Vyuoni CIA na MOSSAD?

Naweza kufananisha hiyo sixth sense na intuition au some psych power. Kila mtu anayo Ila issue ni kuwa aware nayo na ku develop.
Nina ushahidi wa mtu mmoja nafikiri yupo kitengo hapa nchini but sijui upande gani…..

Huyu I think alikuwa trained tangu primary school hadi anamaliza Chuo. Ame develop Hii psych power mpaka huwa siwi comfortable kukaa naye. Kwa lugha ya kutofikiria vizuri tunaweza kumwita mchawi kabisa. Intuition yake ipo vizuri, kutaka kitu kitokee kama anavyotaka, kwenda sehemu bila kuonekana na mengine mengi.

But huwa haeleweki since primary nafikiri alianza kutengenezwa huko and now anafanya kazi ambayo haieleweki pia hata Kwa watu wa karibu.

Sasa sijui kuhusu walimu wake na wenzake wanaofanya nae kazi….
Ila Hii kitu ipo issue ni development tu
Thanks
 
Great Mkuu....
 
Wamemtageti bibi Samia hadi kaamua kwenda kuhiji huko siku mbili
 
Ktk moja ya masomo hayo pia kuna somo la kujua kuyasoma mawazo ya mtu. Yaani kujua mtu anawaza nini kwa kuusoma uso au kuingia mwilini mwa mtu.

Ipo elimu ya kuingia kwa mtu kiroho na kuyasoma mawazo yake kisha ukajua anawaza nn.Hii elimu hata waganga wa kienyeji wanayo
 
Nimekuwa nikisikia sehemu mbalimbali ( hasa hasa hapa nchini Herzegovina ) yalipo Makazi yangu Siku zote kuwa licha ya Wanadamu wote kuwa na Five ( 5 ) Senses, ila kwa wale Majasusi ( Manjagu ) wao wanatakiwa kuwa na ya Sita ( 6 ) pia.
Yaani wewe jasusi mbobezi kutoka hapo NISS unataka kuniangusha kwa swali rahisi hivyo? Acha unaa kachero
 
kumekucha Jf kuzungumzia secret service za watu[emoji23][emoji23] wenyewe wanatuchora
 
Hahaha Mkuu ..unanijuwa mimi nani ..show zao bar
 
Hakuna a biologica sixth sense kwa maana ya maumbile.
Ila kuna sixth sense kutokana na kile unchohisi kutokana na reaction ya the five natural senses.
Training na experience, memory vina play part.
 
Mimi Kama mimi nitawezaje kuipata io 6th sense!!??mkuu
 
Somo zuri sana swali ni tamu Ila wanaojibu hawakuelewa swali au mada halisi🤔🤔🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…