- Thread starter
- #21
Kuna manzi mmoja alikua n mwanachuo wa UDOM siku moja nilivyofika pale Ofisini kwao kwenye semnar majengo sokoni seminar ulivyoisha alitoa pesa yote ya ada aliyopewa km 360K ili kukamilisha mtaji baada ya seminar wakaanza kusema huyu ndo champion mpk akasema nimeamua kujisacrifie pesa ya ada kwa ajili ya mafanikio ila cjui alifikia wapi kwenye hii biashara
n baada ya seminar
n baada ya seminar