Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezakana, ila pia tambua sio wote tunaishi Daslam. Huku matakoni mwa nchi zimejazana IST,SPACIO,WISH,RAUM na Tako la Nyani.Gari kubwa ni Prado sanasana, Hilux Sikumbuki mara ya mwisho kuliona ni liniHaukuwa na interest nayo ndo maana hukuweza kuziona mabarabarani ila zipi nyingi sana mitaani
Nje ya mada.
Kwa gari zenye muundo wa juu (SUV) ni ipi yenye unafuu kwenye fuel consumption?
Kwa mfano kati ya Harrier, Vanguard, RV4 (latest models), Suzuki (grand), Mistubish outlander, Rush, Surf etc. ipi kwenye mafuta ina unafuu?
Nimekutana na hii gari mtandaoni bei mil 37, nimeipenda kwa muonekano, kwa mwenye uzoefu wa hii gari naomba aichambue kidogo. Inaitwa Toyota Hilux Surf, wasiwasi wangu ni mbona sizioni sana barabarani.
View attachment 2584076
Umeongea kienyeji sana.Mazda Cx-5
Hao wote wakasome..! Unaijua SkyActiv technology
Surf ni gari yenye historia nzuri sana..Hii ni T/Hilux pickup iliyofunikwa.. zaidi ya shida kupasuka dashboard kama tako la nyani sidhani kama ina tatizo lingine. Hizi zina ingine ya petrol- 2TR..Toleo hili nadhani hawakutoa ya diesel.Nimekutana na hii gari mtandaoni bei mil 37, nimeipenda kwa muonekano, kwa mwenye uzoefu wa hii gari naomba aichambue kidogo. Inaitwa Toyota Hilux Surf, wasiwasi wangu ni mbona sizioni sana barabarani.
View attachment 2584076
Surf ni gari yenye historia nzuri sana..Hii ni T/Hilux pickup iliyofunikwa.. zaidi ya shida kupasuka dashboard kama tako la nyani sidhani kama ina tatizo lingine. Hizi zina ingine ya petrol- 2TR..Toleo hili nadhani hawakutoa ya diesel.
Yah,kweli ..toleo hili la nne walitoa injini tano za petrol na moja ya diesel 1KD ...toleo la tano ndio petrol pekee (1GR na 2TR)Zipo za diesel na 1TR lakini si soko la Asia, nadhani zilienda ulaya
Niliongea na sista kanikata mzuka, eti anasema gari ya zamani sana hiyo brother na huwa ina changamoto ya kuoza bodi[emoji56]Surf ni gari yenye historia nzuri sana..Hii ni T/Hilux pickup iliyofunikwa.. zaidi ya shida kupasuka dashboard kama tako la nyani sidhani kama ina tatizo lingine. Hizi zina ingine ya petrol- 2TR..Toleo hili nadhani hawakutoa ya diesel.
This is new modelNiliongea na sista kanikata mzuka, eti anasema gari ya zamani sana hiyo brother na huwa ina changamoto ya kuoza bodi[emoji56]
2006?
Namaanisha za 2006 ndio new model?Inategemea zamani kwake ni lini na iwezo wake wa kununua gari sa miaka ya karibuni, kwa wengine 2006-2010 bado si zamani sana na pia gharama za kununua gari zinakuwa si kubwa sana. Gusa prado ya kuanzia 2013 na compare na bei ya hiyo gari