Hii ndio nilikuwa nafikiri. Kwa nini achukue muda wote huo kulisema hilo, asiseme tangu dakika za mwanzo na yule mwengine akaelewa angalau akae mkao gani.Si hivo Alter, Hapa tunaongelea couple imesha kwaa kwa muda na mmoja anaona it is time to move to the next level, mwenzie anamwambia hawezi kurupukia mahusiano ya kudumu. Unaona hapo?
Wapendwa ni matumaini yangu kuwa mu wazima. Nimewamiss sana.
Najiuliza pale unapokuwa mmekubaliana kupendana, halafu mpenzio anapoamua kuitumia sentensi ya .... Unajua nilishaumizwa sana, so najihami kwa kutokurupukia mahusiano ya kudumu.
Hii huwa ina ujumbe gani? Hivi kweli kama kweli unampenda mpenzio utakuwa na muda wa ku-worry na kuamua kujiprotect from love hurting?
...once bitten, twice shy, thrice?...celebral malaria!
...pamoja na majibu mazuri ya wachangiaji waliotangulia, ningeomba kumuuliza MwanajamiiOne mahusiano ya kudumu ana maanisha nini? hapa amekusudia ni ndoa?
...kama jibu ni ndio, nyie endeleeni na mdahalo huu kwani mbu nishajipatia uzoefu wa kutosha kwenye taasisi hii kwamba happiness haipo kwenye ku fremu cheti cha ndoa pekee...otherwise tungesikia huyu ana diploma ya ndoa, yule ana degree, wale wana Masters, au waliokufa na Phd za ndoa...
Ndoa utajitahidi sana utaishia ngazi ya cheti kama sio kupigwa "disco" kama kina mbu hapa.
MwanajamiiOne, mahusiano ya kudumu unakusudia nini, ndoa?
Aksante Lizzy hahah umenifurahisha maana ulivyolirukia swali la The Boss hadi nimependa!Naomba nimjibie Boss, please ,please, pleaaaase?!
Kama baada ya muda kupita bado mtu anajihami namna hiyo wakati mpaka mlipofikia hujamtenda basi jua fika hana malengo ya mida mrefu na wewe. Ama hayuko tayari/hana uhakika kama mtakua pamoja kwa muda mrefu.Yani akua yupo kwaajili ya muda huo mliopo (present time) na sio kwaajili ya kesho na kesho kutwa.
Sasa mwali wewe, bora umewahi kujitetea kuwa sio wewe! Manake ushaambiwa mwenzio hana mpango wa kutoka kwenye gereza alilofungiwa japo kwa kuruka ukuta, ww unategemea ataamka siku aseme twende tukapunge upepo? Ukishaambiwa hivyo inamaanisha bado nipo nipo sana...
Umeiweka vizuri hiiv Okada aksanteHe/she means that you should keep one door open for the rainy day.......
Muda haupangwi na wewe mda unapangwa na mtekelezaji!!Aksante The Boss, what if mmekaa muda ambao unahisi unatosha kwa kumove to the next step?! Mara nyingi hii hutokea mnapokuwa mmekaa kwa muda kiasi
Mtekelezaji?? Ambaye ni nani hapa?Muda haupangwi na wewe mda unapangwa na mtekelezaji!!
Mbu aksante kwa mchango huu. Ni kweli namaanisha ndoa na hasa kwa wale ambao hawsajawahi ingia kwenye taasis hiyo.
Tunajua fika kuwa jamii zetu wazazi wetu huwa wanakuwa na matumaini mengi kwa watoto wao ikiwemo kuwa0za nao wawe na familia zao.
Sasa unapokuwa unahisi kuwa umempata the right person na unajiona ni muda muafaka sasa nawe uwe na familia yako unapomweleza mwenzako ambae unahisi ndo anaweza kuwa your better half, akupe majibu hayo!
Natamani nikuelewe.......... Kukubaliana kupendana?πhoto:πhoto:πhoto:Wapendwa ni matumaini yangu kuwa mu wazima. Nimewamiss sana.
Najiuliza pale unapokuwa mmekubaliana kupendana, halafu mpenzio anapoamua kuitumia sentensi ya .... Unajua nilishaumizwa sana, so najihami kwa kutokurupukia mahusiano ya kudumu.
Hii huwa ina ujumbe gani? Hivi kweli kama kweli unampenda mpenzio utakuwa na muda wa ku-worry na kuamua kujiprotect from love hurting?
The great part kuhusi hilo ni walau S/he is telling you the truth na NO empty promises, sema tu watu twapenda jisikia we are the center ya maisha ya mtu alo mpenzi wako; hoping akuambie maneno kama "bila wewe hawezi ishi...." hata kama sio kweli...
Shost nimeona mashambulizi yanaletwa direct nkaogopa nisijechakachua michango ya watu loh!
MJ1 na uzee huu ? Naanzia wapi mie kubembeleza tuunge undugu na mtu! Nshajiondokea mie huko! Nawasaidia tu wadogo zangu wa leo.
Na kweli mwaya so mtu ndo ashakupa za uso hizo, ndo unamweleza wazi kuwa kama ni hivyo haya endelea kuuguza makovu yako, mie nendatafuta alokwishasahau kuwa ana makovu (unaanza mbele na kuanza moja kupenda mwingine) au ndo unajipa moyo kwanza kuwa pengine hayo maumivu ya makovu!! Yataisha muda si mrefu (umsubirie?) Au ndo unafanyaje vile???
Nimekusoma Mwj1, mshawishi awe mvumilivu....ni taasisi ya kuishi kwa matumaini na vipimo cha uvumilivu.
"mapenzi ni kukubaliana (baada ya ushawishi), mapenzi si kulazimishana!"
Mwenza hajashawishika bado kuchukua maamuzi magumu...
Natamani nikuelewe.......... Kukubaliana kupendana?πhoto:πhoto:πhoto: