Wanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.Yapi maoni yako?View attachment 2668423
Ainisha vyakwako utuwekee hapa piaVipengele vinavyopingwa vimeainishwa tayari
Vi lete hivyo vipengere plz tuvione tusipinge tuVipengele vinavyopingwa vimeainishwa tayari
We nakina nani? Jiseme wewe bwanaNi kweli....wengi we know nothing ...ushabiki tu[emoji1787]
Huku mtaani hata wasio jua kusoma wana uliza ukomo wa mkataba/makubaliano ,wewe unaishi wapi ?Yapi maoni yako?View attachment 2668423
Wajinga mpo wengiWanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.
Watauliza je ukomo wa mkataba wakati mikitaba haijasainiwa au wanauliza ukomo wa ushilikiano kati ya Tanzania na dp world ambao tayari .bunge imesha pitisha.Huku mtaani hata wasio jua kusoma wana uliza ukomo wa mkataba ,wewe unaishi wapi ?
Acha kutukana mkuu leta hoja plz.Wajinga mpo wengi
nyie makuwadi ya dpworld mnajua mkataba unavipengere vipi vya maana.Wanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.
kazi kwelikweliWanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.
Kama wewe huelewi, usituingize wengine kwenye hilo kundi.Wanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.
Am sorry πWe nakina nani? Jiseme wewe bwana