Je, hii katuni ina ujumbe wa ukweli?

Je, hii katuni ina ujumbe wa ukweli?

INT-Libyan-Slave-Trade1-700x470.png

Picha hii sio katuni, Una maoni gani? Ni kweli au Sio kweli?
 
Hapa dini inaingiaje wewe bwege? Escrow, net solution, Richmond nk zilipingwa pia Kwa sababu ya dini Gani? Acha ujinga wa kuchanganya watu. Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere na sehemu kubwa ya ujenzi wa SGR unafanywa na Waturuki ambao ni dini ipi?
Ni mtu wa hovyo na aliyekosa Hoja ndie ataleta udini kwenye hili suala tangu mwanzo kabisa watu waliweka Hoja mezani za kupinga na hata wakisaini na kufanikiwa kuwapa hiyo bandari ibaki kuwa Kuna watu waliona na walipinga ubabe ukatumika
 
Na..... wengi we know nothing.... bali kuunga mkono tu.

Nilimsikia Msigwa akifafanua jana kwa waandishi wa habari ile yule mwandishi wa mwisho alipojaribu kumweleza vifungu vyenye utata kwenye mktaba au makubaliano hayo, yeye akapinga na kuwa mkali sana kiasi kuwa yule mwandishi aliamua kutouliza swali lake kabisa. Halafu kuna waandishi waliokuwa wanatamka kuwa wameelewa maelezo yake bila kujua mkataba au makubalinao yenyewe ni nini.
Hilo neno "we know nothing" umelitumia ukijua maana yake ama umelitumia kwa mazoea!?
Maana kusema mtu knows nothing na bado anapinga ni kufanya huyo mtu awe naweza sema punguani kabisa maana hata ukisema kichaa au mtoto Hawa huwa hawapingi Wala kushiriki jambo wasilojua
Lakini mfano uliotoa umepingana na maelezo Yako hasa kwa huyo muandishi maana inaonekana alihoji na ukatumika ukali na vitisho kuzuia asiendelee kuhoji.
 
Hilo neno "we know nothing" umelitumia ukijua maana yake ama umelitumia kwa mazoea!?
Maana kusema mtu knows nothing na bado anapinga ni kufanya huyo mtu awe naweza sema punguani kabisa maana hata ukisema kichaa au mtoto Hawa huwa hawapingi Wala kushiriki jambo wasilojua
Lakini mfano uliotoa umepingana na maelezo Yako hasa kwa huyo muandishi maana inaonekana alihoji na ukatumika ukali na vitisho kuzuia asiendelee kuhoji.
Wewe unajua maana yake?
 
1.ukomo wa mkataba

2.Dp anafaidikaje? Percentage ngapi na sisi ngapi?

Bana eeh nyie si mna PhD Mimi la 7 nawazidije kete?
 
Back
Top Bottom