Hapa dini inaingiaje wewe bwege? Escrow, net solution, Richmond nk zilipingwa pia Kwa sababu ya dini Gani? Acha ujinga wa kuchanganya watu. Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere na sehemu kubwa ya ujenzi wa SGR unafanywa na Waturuki ambao ni dini ipi?Wanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.
Wanaopinga Wana sababu za msingi we kiazi wanaoshangilia ndo hawana za msingi zaidi ya udini na uchawaWanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.
Article no 23! Huyo cartoonist toka viunga vya Lumumba, that's why hawez ona vifungu fikirishi!!Yapi maoni yako?View attachment 2668423
Wanao support mkataba wanazo sababu zipi?Wanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.
Yapi maoni yako?View attachment 2668423Mchora katuni Chawa na mpu.mbavu tu huyu!
Sio ushabiki hata mimi binafsi siwezi kuuza au kukodisha asset yangu ninayoitegemea mbona bandari za zanzibar hazikujumlishwa?Ni kweli....wengi we know nothing ...ushabiki tu🤣
Nimependa hii.Mtu kasaini 2022 mnaupinga 2023 hii ni akili kweli
Mkataba utaanza kutekelezwa lini na utaisha lini?Vi lete hivyo vipengere plz tuvione tusipinge tu
Huo mkataba kuuita mkataba wa bandari ni kuupotosha umma. Bandari ni robo tu ya mkataba. Huo uitwe mkataba wa kuuza Tanganyika.Wanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.
Na wanaoukubali ni mazuzu tu hawajui ndani ya huo mkataba kuna niniWanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi
Utahira Kama upo kwenye kundi la hivyo...Ni kweli....wengi we know nothing ...ushabiki tu🤣
kasaini niniMtu kasaini 2022 mnaupinga 2023 hii ni akili kweli
Na wewe unaepinga umeingiziwa sh ngapi?!!Hiyo ni katuni ya kishabiki, haitashangaza ukisikia mchoro huo umelipiwa milioni moja, pesa ya madafu.
Hawa watu wapo kazini kuinunua Tanzania katika vipande vipande.
Kuna mijitu tz hii mipumbavu aiseee!Huo mkataba kuuita mkataba wa bandari ni kuupotosha umma. Bandari ni robo tu ya mkataba. Huo uitwe mkataba wa kuuza Tanganyika.
AahaaaaaYapi maoni yako?View attachment 2668423