Hahahahahahahah
kuna raha sana Jf
Alijuaje na we ni single na unatafuta?
ANGALIA USIJE OA JINI Mpenzi..
Ndio maana siungi mkono sana, haya matangazo ya kutafuta mchumba.
Bora mtu ukajichanganya na watu humu, ukasoma post za watu, utajua tu huyu ni single huyu ni hivi then una ongea kirafiki, huwezi jua kesho bwana, maisha yanaweza kuwa zaidi ya keyboad, zaidi ya urafiki na zaidi ya undugu pia.
Sio matangazo kama unatangaza nafasi za kazi. Ndo hayo matokeo yake.
angalia sifa unazotaka ametumia,kuwa makini kuchunguza tabia je anamtazamo sawa na ww ktk maisha.ukiridhika kuwa nayeSalaam wana JF.Siku kadhaa zilizopita nilitangaza hapa JF kwamba natafuta mchumba. Siku moja nikiwa kwenye gari nilipokea simu ya dada mmoja nisiyemfahamu na wala hakutumia namba za simu nilizoziweka hapa. Akasema yeye ana shida anatafuta mchumba na alikwenda kwa mchungaji wa kanisa lao akamuombea na kuahidiwa atapata mchumba kwa njia ya mawasiliano ya simu, sasa katika kubonyeza bonyeza simu yake mara akajikuta ameandika namba zangu. Kinachonishangaza kwa huyu binti haraka aliyonayo, hatuwahi hata kuonana lakini tayari anasema ananipenda sana, kuniomba nimtumie vocha na kutaka tuonane bila hata kunipa muda wa kujadili kile anachokisema. Sasa wana JF mnanishaurije, hii inaweza kuwa ni bahati na kwamba maombi yangu yamejibiwa au ni mbinu mpya za kiutapeli zimeingia hapa jijini?
angalia sifa unazotaka ametumia,kuwa makini kuchunguza tabia je anamtazamo sawa na ww ktk maisha.ukiridhika kuwa naye.ila kuwa makini asijekuwa ni kibiashara zaidiSalaam wana JF.Siku kadhaa zilizopita nilitangaza hapa JF kwamba natafuta mchumba. Siku moja nikiwa kwenye gari nilipokea simu ya dada mmoja nisiyemfahamu na wala hakutumia namba za simu nilizoziweka hapa. Akasema yeye ana shida anatafuta mchumba na alikwenda kwa mchungaji wa kanisa lao akamuombea na kuahidiwa atapata mchumba kwa njia ya mawasiliano ya simu, sasa katika kubonyeza bonyeza simu yake mara akajikuta ameandika namba zangu. Kinachonishangaza kwa huyu binti haraka aliyonayo, hatuwahi hata kuonana lakini tayari anasema ananipenda sana, kuniomba nimtumie vocha na kutaka tuonane bila hata kunipa muda wa kujadili kile anachokisema. Sasa wana JF mnanishaurije, hii inaweza kuwa ni bahati na kwamba maombi yangu yamejibiwa au ni mbinu mpya za kiutapeli zimeingia hapa jijini?
ahahahaaa! Kwa hiyo ukituma jero inaweza kuishia kwenye makato...LOL!Mbona simpo tu!!mtumie buku ili kama alikopa kwenye mitandao yetu abakiwe na chenji,kisha msikilize huenda ni taperi but huenda akakufaa pia
mhhh! Hata mimi ndicho kilichoniogoposha.Duh huyo demu hata mjaonana kaanza kupiga misumari
Hakika, ndicho nilichokifanya.Cha mjinga huliwa na mwerevu kaka, Sijekatuma vocha wala nini tulia na bahati yenyewe itajondea bila kuangaika.
Ni kweli......ila swali nalojiuliza hadi leo alipataje namba zangu?angalia sifa unazotaka ametumia,kuwa makini kuchunguza tabia je anamtazamo sawa na ww ktk maisha.ukiridhika kuwa naye.ila kuwa makini asijekuwa ni kibiashara zaidi
<br />Hapo ndipo napaogopa zaidi, bora awe tapeli mwenye shida ya vocha tu kuliko jini mahaba.
hahaha dah umenifurahisha sanatuma iyo helaa umehonga vngp????