LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
Ndio maana siungi mkono sana, haya matangazo ya kutafuta mchumba.
Bora mtu ukajichanganya na watu humu, ukasoma post za watu, utajua tu huyu ni single huyu ni hivi then una ongea kirafiki, huwezi jua kesho bwana, maisha yanaweza kuwa zaidi ya keyboad, zaidi ya urafiki na zaidi ya undugu pia.
Sio matangazo kama unatangaza nafasi za kazi. Ndo hayo matokeo yake.
Bora mtu ukajichanganya na watu humu, ukasoma post za watu, utajua tu huyu ni single huyu ni hivi then una ongea kirafiki, huwezi jua kesho bwana, maisha yanaweza kuwa zaidi ya keyboad, zaidi ya urafiki na zaidi ya undugu pia.
Sio matangazo kama unatangaza nafasi za kazi. Ndo hayo matokeo yake.