Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
kuna jambo linanitatiza sana,eti kitovu cha mtoto mchanga kikiangukia sehemu za siri za mtoto,mtoto huyo anakuwa -------(kwa mwanaume),na mgumba(kwa mwanamke?)...hizi habari nimezipata sana na mjuzi nili'tune' tbc taifa nikakutana na kipindi hicho,walikuwa wanahojiwa wazee wa chamwino dodoma wakadai ni kweli na ili mtu apone tatizo hilo (kama ni mvulana inabidi amlale mama yake mzazi),na kama ni mwanamke inabidi azini na baba yake!!nilishtuka sana,wakuu kuna ukweli wowote?na kama ndio,njia zipi zitumike kuokoa tatizo?je,inawezekana ndugu zetu wenye matatizo haya sababu ni hiyo?ama kuna sababu za kisayansi zaidi?
nawasilisha.
cc;mshana jr,nifah,likud(sijui yuko wapi),washawasha et al
nawasilisha.
cc;mshana jr,nifah,likud(sijui yuko wapi),washawasha et al