Je hii ni kweli?

Chiriku

Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
47
Reaction score
8
Inasemekana kwamba kunywa majivu yaliyokorogwa kwenye maji baada ya tendo huzuia mimba kutungwa? (kwa wenye utaalam wa kibaolojia tafadhali.)
 
Hata kama sijui Bios, MIMBA Inatungwa wapi na hayo unayo kunywa yanaenda wapi??????????

Naona kama sarakasi za kichina
 
mmm, ulipanda bangi unataka uote mchicha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…