huyo huku mtaani tunawaita mchele mwiba yaani ni bwabwa ila anasimamisha fresh tu, jaribu kumchunguza nadhani kuna tatizo hapoJamani jamaa kaoa na ana mtoto na pia anaheshika sana na wala hana kashfa ya u bwabwa hapo ndo nimeshangazwa
ila huyo jamaa ana matatizo gani mpk kupenda kukaa na w/wake hivyo? na je mkewe hana wivu? na kuna agenda gani ya siri kati yake na wanawake hao jaribu kuchunguza kuna walakini sio bureMmmmmmh hay mkubwa sasa kwa mfano ukamkuta kasimama na mkeo/Gf wako wakiteta jambo je utajisikiaje
Kupenda wanawake kupita kiasi? Siyo kufanya nao tendo la ndoa ila kuwapenda tu walivyoumbwa hasa wazuri wazuri! Kuwa nao katika viburdisho mbali mbali na kufurahia maisha kuliko wanaume wenzio? Hii ina kasoro yeyote
Nimeuliza hivi maana kuna mshikaji wangu habanduki kuwa na mademu, halafu ni yule tuko nae katika njia nyembamba iendayo uzimani ila kila nikimuona namkuta na demu huyu mara yule lakini ni nadra sana ukute yupo na kidume mwenzie