Je, hii ni pressure ya msimu ujao?

Je, hii ni pressure ya msimu ujao?

mangiTz

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2019
Posts
1,820
Reaction score
3,062
Je hii ni pressure ya league kuanza au ni nini, je taasisi kama hii kubwa haina watu wanao hakiko kitu/taarifa kabla haijaenda public? Ni vyema kuwe na wahariri na nina imani yupo lakini kazembea , mtani umezingua

---
Simba.png
 
Habari hii imetangazwa na chombo gani cha habari?Azam Sports ndio wametangaza sasa tatizo ni nini?Kuna see more kwenye hiyo habari.Tueleweshe tatizo nini?
 
MKUU UNAJUAJE KAMA KAANDIKA KWA LUGHA YA KWAO? 😂😂😂
Mtani kazingua anaandikaje lugha pori wakati anajua anapeleka kwa watu wanaotumia kiswahili na kiingereza 🤣🤣
 
Habari hii imetangazwa na chombo gani cha habari?Azam Sports ndio wametangaza sasa tatizo ni nini?Kuna see more kwenye hiyo habari.Tueleweshe tatizo nini?
Mkuu hujaelewa wapi? Huo mkutano ni wa leo Yani issue ipo kwenye kibegi designer badala kuandika viingilio kaandika viingilo 😅ndipo tukauliza hakuna mhariri? Mpaka linafika sehemu ya public
 
Habari hii imetangazwa na chombo gani cha habari?Azam Sports ndio wametangaza sasa tatizo ni nini?Kuna see more kwenye hiyo habari.Tueleweshe tatizo nini?
Rage hakukosea!
Ahmed Ally ananyanyua kibegi juu kwa mbwembwe eti ili dunia isome ilhali hicho kinachotakiwa kusomwa hakieleweki
 
The problems of the most as We Tanzanians like to criticize very cheap things that can be understood even by madogo wa darasa la pili. Nani asiyeelewa kilichomaanishwa hapo? Kuna ule msemo tunasemaga SIMBA "GUVU" MOJA. Mbona hatujawahi kurecorrect kwenye kiswahili sanifu?
Let's not be biased bhana
Kiingilio kitaanzia buku tano full stop🙌
 
The problems of the most as We Tanzanians like to criticize very cheap things that can be understood even by madogo wa darasa la pili. Nani asiyeelewa kilichomaanishwa hapo? Kuna ule msemo tunasemaga SIMBA "GUVU" MOJA. Mbona hatujawahi kurecorrect kwenye kiswahili sanifu?
Let's not be biased bhana
Kiingilio kitaanzia buku tano full stop🙌
Huyu Mwamba atakuwa ndiye ndugu muandishi!!
@#*$&$@$$
 
The problems of the most as We Tanzanians like to criticize very cheap things that can be understood even by madogo wa darasa la pili. Nani asiyeelewa kilichomaanishwa hapo? Kuna ule msemo tunasemaga SIMBA "GUVU" MOJA. Mbona hatujawahi kurecorrect kwenye kiswahili sanifu?
Let's not be biased bhana
Kiingilio kitaanzia buku tano full stop[emoji119]
The most as we [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tafuta vitu vya maana vya kuhoji..wenye shughuli yetu tumeelewa
 
Back
Top Bottom