Je, hii sauti kwenye hii audio ni ya Jerry Muro ama?

Je, hii sauti kwenye hii audio ni ya Jerry Muro ama?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kuna audio inasambaa Whatsapp muongeaji ana sauti kama ya Jerry Muro akiwa anataja watumiaji wa madawa.

Naomba mliokutana nayo hiyo ni sauti yake ama wametengeneza, wasije mchafua kijana wa watu.

Kingine marafiki konyoo msiwaamini sana, ukisikia ni kama mtu anamhojiwa na mwingine anamrekodi bila kujua.

Wewe uliesambaza, Lord anakuona.
 
Kuna audio inasambaa Whatsapp muongeaji ana sauti kama ya Jerry Muro akiwa anataja watumiaji wa madawa.

Naomba mliokutana nayo hiyo ni sauti yake ama wametengeneza, wasije mchafua kijana wa watu.

Kingine marafiki konyoo msiwaamini sana, ukisikia ni kama mtu anamhojiwa na mwingine anamrekodi bila kujua.

Wewe uliesambaza, Lord anakuona.
Kweli akili zako haziba akili sasa unataka tukujibuje bila kusikia iyo sauti???
 
Kuna audio inasambaa Whatsapp muongeaji ana sauti kama ya Jerry Muro akiwa anataja watumiaji wa madawa.

Naomba mliokutana nayo hiyo ni sauti yake ama wametengeneza, wasije mchafua kijana wa watu.

Kingine marafiki konyoo msiwaamini sana, ukisikia ni kama mtu anamhojiwa na mwingine anamrekodi bila kujua.

Wewe uliesambaza, Lord anakuona.
Unatuuliza wakati hajaweka hyo sauti.
 
audio nimeisikia ni kama yake wajuzi wa sauti watatusaidia tafadhali weka miye naogopa cibercrime
 
Tumia kichwa!
sio kila mtu yupo katka magrup yenu huko sijui wasap
 
Kuna audio inasambaa Whatsapp muongeaji ana sauti kama ya Jerry Muro akiwa anataja watumiaji wa madawa.

Naomba mliokutana nayo hiyo ni sauti yake ama wametengeneza, wasije mchafua kijana wa watu.

Kingine marafiki konyoo msiwaamini sana, ukisikia ni kama mtu anamhojiwa na mwingine anamrekodi bila kujua.

Wewe uliesambaza, Lord anakuona.
Nitumie pm
 
Back
Top Bottom