alvin dismas
New Member
- Dec 26, 2014
- 4
- 0
sajili NGO mambo ya ndani au wizara ya maendeleo na jamii, jinsia na watoto.
tayarisheni katiba, muwe kama watatu na kuendelea, andaeni CV zenu na pesa ya usajili. kama laki moja hivi yatosha. tengenezeni muundo WA shirika menu ktk utawala na utendaji. kisha anzani kuraise funds kupitia miradi - IGAs- income generating activities, na source zingine.
alvin dismas Ushauri wangu ni kwamba usajili kama company by guarantee without share capital brela.aina hii ya company inajulikana kama lengo lake ni ktk kusaidia jamii ukitofautisha na company limited by shares ambayo iko kibiashara zaidi, gharama za aina hii ya company kulipia usajili ni ndogo( 150,000 inaweza isifike kutegemeana na idadi ya memorandum zitazowasilishwa) ukilinganisha na company limited by shares.kusajili kama association itakupa ugumu kidogo kwa sababu kwanza wanataka members waanzie kumi,halafu mnaanzia kwanza afisa maendeleo kata ,kisha itabidi mtambuliwe na ofisi za wilaya kwa DC , na complications nyingine na usajili wake ni 150,000,wakati ukisajili hii kama charitable company brela hata kwa kunitumia mimi ,nitakurahisishia. 0712742233
Nipo Dar,nimejibu Pm yako,tuko pamoja ndugu.Umeongeza vema mkuu. Charitable company haina mlolongo mkubwa sana, hasa wa kulazimika kuwa na members wengi.
Another thing mkuu; Nipo Mbeya kama upo Dar NIPM KWA AJILI YA KUWA UNANISAIDIA MAMBO FULANI.
What is the statutory minimum number of NGO members!sajili NGO mambo ya ndani au wizara ya maendeleo na jamii, jinsia na watoto.
tayarisheni katiba, muwe kama watatu na kuendelea, andaeni CV zenu na pesa ya usajili. kama laki moja hivi yatosha. tengenezeni muundo WA shirika menu ktk utawala na utendaji. kisha anzani kuraise funds kupitia miradi - IGAs- income generating activities, na source zingine.