Je, hiki ni kiama cha ATM machine?

Je, hiki ni kiama cha ATM machine?

Uku kwetu bado Sana.....

Wakati MAREKANI wameanza kuTumia ATM mwaka 1963.

Huku Bongo zimeanza kuingia Miaka ya 2000

Kwaiyo Apo DIGITAL currency, jumlisha Miaka 40 mbele.
 
Uku kwetu bado Sana.....

Wakati MAREKANI wameanza kuTumia ATM mwaka 1963.

Huku Bongo zimeanza kuingia Miaka ya 2000

Kwaiyo Apo DIGITAL currency, jumlisha Miaka 40 mbele.
Digital currency ni kama M-pesa inavyofanya kazi..

Let's not get twisted
 
Ni maendeleo mazuri ila yalishatabiriwa kitambo kwa bible ,kwa sis scriptures geeks tunajua next move baada ya hio digital currency
 
Back
Top Bottom