Je hili la Tanesco si Shambulio la Kimtandao kwa Nchi? Cyber Attack? Usalama wa Taifa hili jukumu lenu

Je hili la Tanesco si Shambulio la Kimtandao kwa Nchi? Cyber Attack? Usalama wa Taifa hili jukumu lenu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Haya mambo watu walikuwa wanadhani ni kwenye movie tu mnaweza jikuta nchi nzima mpo gizani watu washafanya yao. Nchi kama hizi huwa tunajisahau sana. Haya mashambulizi katika hii karne yanakuwepo sana.

Sasa sijui ni Chadema wamehusika au sijui wapinzani gani . Ila watafutwe. Leo toka asubuhi umeme haununuliki kwa namna yoyote ile. Sijasikia Hata Waziri akitoa Tamko. Anyway mimi nina umeme wa mpaka tarehe 2 January.

IMG-20231214-WA0014.jpg
 
Halafu kuna zuzu kule X linajibishana mipasho na watu tu.

Sio TANESCO hata NHIF nimeona kulikuwa na shida.

Hao usalama wa taifa mnawapa hype tu wamejaa makada wa kijani na incompetent kazi kuilinda CCM ni wakati wa kuwekeza kwenye wasomi sio mtu kubebwa sababu baba sijui alikuwa nani enzi hizo.
 
Haya mambo watu walikuwa wanadhani ni kwenye movie tu mnaweza jikuta nchi nzima mpo gizani watu washafanya yao. Nchi kama hizi huwa tunajisahau sana. Haya mashambulizi katika hii karne yanakuwepo sana.

Sasa sijui ni Chadema wamehusika au sijui wapinzani gani . Ila watafutwe. Leo toka asubuhi umeme haununuliki kwa namna yoyote ile. Sijasikia Hata Waziri akitoa Tamko. Anyway mimi nina umeme wa mpaka tarehe 2 January.

View attachment 2842607
Hongera boss.bila Shaka wewe NI wale wanufaika.ila cc watanganyika tunajijua.maisha ytu ya kuungaunga.wanaojiita wataalam wetu WAKO wapi?.c wanatumia Kodi zetu?
 
Hongera boss.bila Shaka wewe NI wale wanufaika.ila cc watanganyika tunajijua.maisha ytu ya kuungaunga.wanaojiita wataalam wetu WAKO wapi?.c wanatumia Kodi zetu?
Poleni. Ndo nchi yetu hii. Sisi CCM wengi hatuathiriki na hayo mambo. Nyie wapinzani sasa ndo mtakiona cha mtema kuni.
 
Matengenezo yote Yale tumeishia hapa. Yule ndugu hafai hata kwenye kikao Cha pombe
 
Zinahitajika bilion 700 kutengeneza
Mfumo wa mtandao nchi nzima

Nimewaza tu [emoji1]

Ova
Kipara na tapeli mwenzie Maharage walisaini kandarasi na Wahindi wa Mahindra Tech ya bilioni 69

Kupata software itakakayokua inaonyesha umeme umekatika wapi kurahisisha tatizo , baada ya hapo watu wanakaa saa 12 bila umeme.

Wote wameondoka wamelamba pesa za umma wameishia kuhamishwa vitengo tu.
 
Umeenda mbali sana mzee, bora ungesema kuna watu wanatengeneza tatizo ili wapewe pesa za kutatua tatizo
 
Back
Top Bottom