KIFOROKOKWINYO
Senior Member
- Sep 16, 2017
- 177
- 108
Tatizo watumishi wengi ufanya kazi kwa mazoea na kibuli na kuzifanya tasisi ni vijiwe badala ya utumishi na weledi. Kwanini tuwe Giza na kwanini umeme usinunulike ni ujuma. Shirika la tanesco lingizwe ktk ushindani wa kibiashara secta binafsi ni sehem ya ushindani wa kibiashara private sector competition skills and knowledge and experience and development economy and govement sector ni wakusanya kodi ilo tutaendelea. Bodi za management walaji tu awawezi kutoa ilo ushauri kwasababu sio wazalendo . Wapo kwajir matumbo yao na ubinafsi ifikie mahari ukweli uwendele kuwepo. Awo usalama wa taifa wako wapi wanafanya Nini awayaoni Aya kumshauri raisi tanesco imefikia muda ni kijiwe Cha kutuweka Giza. Umeme wa mashaka sio uakika . Tanesco limekuwa shirika la kisiasa badala taluma. Sekta binafsi zipo kwajir kuongeza uzalishaji ku connect wateja wakandarasi ktk uzalishaji na ifikie mahari meter za umeme ziuzwe Kama sm line mteja achague kampuni uwo ni ushindani wa kibiashara private sector competition skills nà maendeleo. Network ikiwa poor unama kampuni mteja au uduma ikiwa poor . Imefikia tanesco staff kazi za vikindi wanazifanya wao Wana usalama wa nchi wamesinzia wako wapi. Na ata idara za rushwa. Tanzania imefikia mtu anakuja masikini ktk idara jioni tajiri ili limefikia shamba la watu binafsi. Inasikitisha Sana. Tanesco limekuwa shirika la watu vilaza wara rushwa na wababaishaji limeshidwa. Watanzania wamechoka wako oi .