Je, hili limewahi kukutokea??

Je, hili limewahi kukutokea??

Zuriel_cfc

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2017
Posts
4,092
Reaction score
9,063
Habari za jumatatu wanajamvi.

Kuna huu utapeli unaoendelea sasa hivi mitandaoni watu kuibiwa pesa. nimeshuhudia watu watatu mpaka sasa wamelizwa hela za maana.

wakwanza ni rafiki yangu aliombwa urafiki facebook na mdada akijifanya mzungu (muingereza). wakawa wanachati mpaka wakapeana namba za wassap. huyoo "mdada mzungu" akatoa namba ya uk wakawa wanawasiliana vzr na akamwambia anatamani aje kutembea Africa na akija angependa awe mwenyeji wake. baadae mdada akamwambia rafiki yangu nataka nikutumie zawadi nipe address yako na majina kamili. rafiki yangu akatoa bila wasiwasi na huyo mzungu akamwambia ameshamtumia anaamini atazipenda.

baada ya siku tatu rafiki yangu akapigiwa simu (namba ya tz) kwamba kuna mzigo wake umetumwa kutoka Uk lakini bahati mbaya haukushushwa DSM umeshushwa Mwanza. so anatakiwa atume dola 100 ili mzigo urudishwe dar na kuna vitu vya thamani. alipouliza kuna nini akajibiwa kuna laptop, simu mbili na vikorokoro vingine. sasa huyu rafiki yangu alipomuuliza yule mzungu alichotuma akatajiwa vitu hivyo hivyo. akadata. kwa kuwa yeye ni mwanafunzi hakuwa na hiyo amount akaanza kuomba tumkopeshe, katika kumuhoji anataka hela za nini ndio kufunguka kwamba anamzigo wake katumiwa na rafiki yake kutoka Uk anataka akauchukue. watu wazima wakamwambia unaibiwa dogo. kaka yake akachukua ile namba ya tapeli akamwambia yupo pale mwanza amuelekeze ofisi alipo ili akafuate huo mzigo na ana hela mkononi. yule tapeli hakupatikana na dada akamblock rafiki yangu.

mwingine mkaka yuko zanzibar katapeliwa dolla 700 hivyo hivyo, yeye aliambiwa anatumiwa zawadi baadae akatumiwa email na mtu yupo senegal eti kapewa mzigo wake ni photocopy machine, printers na computer atume hizo dola 700 ili mzigo utumwe zanzibar. kwa kumuaminisha kwamba ametumwa na huyo mzungu, akamforwadia chati zake alizokuwa anachati (huyu mzanzibari) na huyo mzungu. jamaa akatuma hela na mzigo asipate..

mwingine huyu wa leo nae kalizwa dola 200 hapa bandarini. kadanganywa mzigo umeshukia zanzibar atume hela ili waupakie kwenye kilimanjaro matokeo yake dola zimeenda na mzigo hakuna....

hawa watu wanakuwa wahapa hapa bongo wanatumia namba za simu za nje au wanashirikiana na wa nje?

kuna yeyote imemkuta hii?
kama bado basi tahadhari kabla ya hatari.

 
Habari za jumatatu wanajamvi.

Kuna huu utapeli unaoendelea sasa hivi mitandaoni watu kuibiwa pesa. nimeshuhudia watu watatu mpaka sasa wamelizwa hela za maana.

wakwanza ni rafiki yangu aliombwa urafiki facebook na mdada akijifanya mzungu (muingereza). wakawa wanachati mpaka wakapeana namba za wassap. huyoo "mdada mzungu" akatoa namba ya uk wakawa wanawasiliana vzr na akamwambia anatamani aje kutembea Africa na akija angependa awe mwenyeji wake. baadae mdada akamwambia rafiki yangu nataka nikutumie zawadi nipe address yako na majina kamili. rafiki yangu akatoa bila wasiwasi na huyo mzungu akamwambia ameshamtumia anaamini atazipenda.

baada ya siku tatu rafiki yangu akapigiwa simu (namba ya tz) kwamba kuna mzigo wake umetumwa kutoka Uk lakini bahati mbaya haukushushwa DSM umeshushwa Mwanza. so anatakiwa atume dola 100 ili mzigo urudishwe dar na kuna vitu vya thamani. alipouliza kuna nini akajibiwa kuna laptop, simu mbili na vikorokoro vingine. sasa huyu rafiki yangu alipomuuliza yule mzungu alichotuma akatajiwa vitu hivyo hivyo. akadata. kwa kuwa yeye ni mwanafunzi hakuwa na hiyo amount akaanza kuomba tumkopeshe, katika kumuhoji anataka hela za nini ndio kufunguka kwamba anamzigo wake katumiwa na rafiki yake kutoka Uk anataka akauchukue. watu wazima wakamwambia unaibiwa dogo. kaka yake akachukua ile namba ya tapeli akamwambia yupo pale mwanza amuelekeze ofisi alipo ili akafuate huo mzigo na ana hela mkononi. yule tapeli hakupatikana na dada akamblock rafiki yangu.

mwingine mkaka yuko zanzibar katapeliwa dolla 700 hivyo hivyo, yeye aliambiwa anatumiwa zawadi baadae akatumiwa email na mtu yupo senegal eti kapewa mzigo wake ni photocopy machine, printers na computer atume hizo dola 700 ili mzigo utumwe zanzibar. kwa kumuaminisha kwamba ametumwa na huyo mzungu, akamforwadia chati zake alizokuwa anachati (huyu mzanzibari) na huyo mzungu. jamaa akatuma hela na mzigo asipate..

mwingine huyu wa leo nae kalizwa dola 200 hapa bandarini. kadanganywa mzigo umeshukia zanzibar atume hela ili waupakie kwenye kilimanjaro matokeo yake dola zimeenda na mzigo hakuna....

hawa watu wanakuwa wahapa hapa bongo wanatumia namba za simu za nje au wanashirikiana na wa nje?

kuna yeyote imemkuta hii?
kama bado basi tahadhari kabla ya hatari.

Mwezi uliopita dada yangu almanusura atapeliwe
Alinitafuta ananieleza habari za mzungu ,,eti Ni rafiki yake kamtumia hela zimejaa begi ila bag limefikia airport Zanzibar Yeye Yuko mbeya
Wanataka atume laki 2 na nusu haraka Sana ili wamtumie mzigo usije ukapotea
Sasa kunipigia anaazima hiyo hela
Amechanganyikiwa anadai huyo mzungu kamtumia Hadi picha ya hizo hela na bag nikapata wasiwasi....
Nikimwambia afatilie kwanza vzr,,kwann wasitume halafu awalipie huku!?yaani inawezekanaje mtu akutumie hela kwenye ndege?hao wanaodai wafanya Kaz wa airport akiwaambia kuhusu kutuma mzigo kwanza hela atalipia huku wanskua wakali

Nkamwambia wewe wanakutapeli
Huyo anaesema mzungu nae akawa mkali,et tuma hela haraka bag linazawad na hela nyingi,,visije vikapotea

Yaani mtu akatume hela kwenye bag kutoka ulaya?
Ameshindwa vp kutumia Western Union au njia nyngne?
Km Ana uwezo wa kukutumia hela kwenye bag kwann ameshindwa safirisha mzigo Hadi mwisho??

Hii style watu kibao wanaendelea kulizwa huko Facebook


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi uliopita dada yangu almanusura atapeliwe
Alinitafuta ananieleza habari za mzungu ,,eti Ni rafiki yake kamtumia hela zimejaa begi ila bag limefikia airport Zanzibar Yeye Yuko mbeya
Wanataka atume laki 2 na nusu haraka Sana ili wamtumie mzigo usije ukapotea
Sasa kunipigia anaazima hiyo hela
Amechanganyikiwa anadai huyo mzungu kamtumia Hadi picha ya hizo hela na bag nikapata wasiwasi....
Nikimwambia afatilie kwanza vzr,,kwann wasitume halafu awalipie huku!?yaani inawezekanaje mtu akutumie hela kwenye ndege?hao wanaodai wafanya Kaz wa airport akiwaambia kuhusu kutuma mzigo kwanza hela wanakuwa atalipia huku wakali

Nkamwambia wewe wanakutapeli
Huyo anaesema mzungu nae akawa mkali,et tuma hela haraka bag linazawad na hela nyingi,,visije vikapotea

Yaani mtu akatume hela kwenye bag kutoka ulaya?
Ameshindwa vp kutumia Western Union au njia nyngne?
Km Ana uwezo wa kukutumia hela kwenye bag kwann ameshindwa safirisha mzigo Hadi mwisho??

Hii style watu kibao wanaendelea kulizwa huko Facebook


Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, aisee ni hatari sana hii
 
Habari za jumatatu wanajamvi.

Kuna huu utapeli unaoendelea sasa hivi mitandaoni watu kuibiwa pesa. nimeshuhudia watu watatu mpaka sasa wamelizwa hela za maana.

wakwanza ni rafiki yangu aliombwa urafiki facebook na mdada akijifanya mzungu (muingereza). wakawa wanachati mpaka wakapeana namba za wassap. huyoo "mdada mzungu" akatoa namba ya uk wakawa wanawasiliana vzr na akamwambia anatamani aje kutembea Africa na akija angependa awe mwenyeji wake. baadae mdada akamwambia rafiki yangu nataka nikutumie zawadi nipe address yako na majina kamili. rafiki yangu akatoa bila wasiwasi na huyo mzungu akamwambia ameshamtumia anaamini atazipenda.

baada ya siku tatu rafiki yangu akapigiwa simu (namba ya tz) kwamba kuna mzigo wake umetumwa kutoka Uk lakini bahati mbaya haukushushwa DSM umeshushwa Mwanza. so anatakiwa atume dola 100 ili mzigo urudishwe dar na kuna vitu vya thamani. alipouliza kuna nini akajibiwa kuna laptop, simu mbili na vikorokoro vingine. sasa huyu rafiki yangu alipomuuliza yule mzungu alichotuma akatajiwa vitu hivyo hivyo. akadata. kwa kuwa yeye ni mwanafunzi hakuwa na hiyo amount akaanza kuomba tumkopeshe, katika kumuhoji anataka hela za nini ndio kufunguka kwamba anamzigo wake katumiwa na rafiki yake kutoka Uk anataka akauchukue. watu wazima wakamwambia unaibiwa dogo. kaka yake akachukua ile namba ya tapeli akamwambia yupo pale mwanza amuelekeze ofisi alipo ili akafuate huo mzigo na ana hela mkononi. yule tapeli hakupatikana na dada akamblock rafiki yangu.

mwingine mkaka yuko zanzibar katapeliwa dolla 700 hivyo hivyo, yeye aliambiwa anatumiwa zawadi baadae akatumiwa email na mtu yupo senegal eti kapewa mzigo wake ni photocopy machine, printers na computer atume hizo dola 700 ili mzigo utumwe zanzibar. kwa kumuaminisha kwamba ametumwa na huyo mzungu, akamforwadia chati zake alizokuwa anachati (huyu mzanzibari) na huyo mzungu. jamaa akatuma hela na mzigo asipate..

mwingine huyu wa leo nae kalizwa dola 200 hapa bandarini. kadanganywa mzigo umeshukia zanzibar atume hela ili waupakie kwenye kilimanjaro matokeo yake dola zimeenda na mzigo hakuna....

hawa watu wanakuwa wahapa hapa bongo wanatumia namba za simu za nje au wanashirikiana na wa nje?

kuna yeyote imemkuta hii?
kama bado basi tahadhari kabla ya hatari.

Ilimkuta shangazi yangu aseee, kopa sana pesa ili kukomboa mzigo wake ulioshukia Mwanza badala ya Dar es salaam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za jumatatu wanajamvi.

Kuna huu utapeli unaoendelea sasa hivi mitandaoni watu kuibiwa pesa. nimeshuhudia watu watatu mpaka sasa wamelizwa hela za maana.

wakwanza ni rafiki yangu aliombwa urafiki facebook na mdada akijifanya mzungu (muingereza). wakawa wanachati mpaka wakapeana namba za wassap. huyoo "mdada mzungu" akatoa namba ya uk wakawa wanawasiliana vzr na akamwambia anatamani aje kutembea Africa na akija angependa awe mwenyeji wake. baadae mdada akamwambia rafiki yangu nataka nikutumie zawadi nipe address yako na majina kamili. rafiki yangu akatoa bila wasiwasi na huyo mzungu akamwambia ameshamtumia anaamini atazipenda.

baada ya siku tatu rafiki yangu akapigiwa simu (namba ya tz) kwamba kuna mzigo wake umetumwa kutoka Uk lakini bahati mbaya haukushushwa DSM umeshushwa Mwanza. so anatakiwa atume dola 100 ili mzigo urudishwe dar na kuna vitu vya thamani. alipouliza kuna nini akajibiwa kuna laptop, simu mbili na vikorokoro vingine. sasa huyu rafiki yangu alipomuuliza yule mzungu alichotuma akatajiwa vitu hivyo hivyo. akadata. kwa kuwa yeye ni mwanafunzi hakuwa na hiyo amount akaanza kuomba tumkopeshe, katika kumuhoji anataka hela za nini ndio kufunguka kwamba anamzigo wake katumiwa na rafiki yake kutoka Uk anataka akauchukue. watu wazima wakamwambia unaibiwa dogo. kaka yake akachukua ile namba ya tapeli akamwambia yupo pale mwanza amuelekeze ofisi alipo ili akafuate huo mzigo na ana hela mkononi. yule tapeli hakupatikana na dada akamblock rafiki yangu.

mwingine mkaka yuko zanzibar katapeliwa dolla 700 hivyo hivyo, yeye aliambiwa anatumiwa zawadi baadae akatumiwa email na mtu yupo senegal eti kapewa mzigo wake ni photocopy machine, printers na computer atume hizo dola 700 ili mzigo utumwe zanzibar. kwa kumuaminisha kwamba ametumwa na huyo mzungu, akamforwadia chati zake alizokuwa anachati (huyu mzanzibari) na huyo mzungu. jamaa akatuma hela na mzigo asipate..

mwingine huyu wa leo nae kalizwa dola 200 hapa bandarini. kadanganywa mzigo umeshukia zanzibar atume hela ili waupakie kwenye kilimanjaro matokeo yake dola zimeenda na mzigo hakuna....

hawa watu wanakuwa wahapa hapa bongo wanatumia namba za simu za nje au wanashirikiana na wa nje?

kuna yeyote imemkuta hii?
kama bado basi tahadhari kabla ya hatari.

Kuna rafiki yangu kalizwa laki 5 na nilimtahadharisha kwamba hao ni matapeli aliona kama namzibia baada ya mwezi kupita ndio akaja kuniambia kwmba alituma hela nilizomkataza bila mm kujua na akatapeliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom