Ni kinyume chake.
Unajichunguza vizuri unajiona una akili timamu kabisa ww?Kinyume ndio nini ???
Huwezi kukuta mtu Mwenye akili timamu anashabikia domo
hahahahaUnajichunguza vizuri unajiona una akili timamu kabisa ww?
Ahahaaa asante mkuuNi kweli utawala wake kwenye bongo fleva utafika mwisho ila sio kama mnavyolazimisha nyie iwe. Hivi unajua wimbo wa Justin Bieber "Baby" ndio wimbo unaongoza kwa DISLIKES Duniani ?
Tunamzungumzia anayetuhusu,tunayemtegemea,tunayejivunia tunayemtolea macho na kumtegea sikio achana na Bieber America wana wanamuziki lukuki wanaotamba DunianiNi kweli utawala wake kwenye bongo fleva utafika mwisho ila sio kama mnavyolazimisha nyie iwe. Hivi unajua wimbo wa Justin Bieber "Baby" ndio wimbo unaongoza kwa DISLIKES Duniani ?