Je, hili ni anguko la Diamond Platnumz?

Je, hili ni anguko la Diamond Platnumz?

Kwenye kila jambo kuna kushinda na kujifunza[emoji4]
 
Hapa mnazidi kupandisha chati, huo wimbo, unaitwaje nikautafute niusikilize.
 
Ni kawaid yetu watanzani kufurahia matatizo ya wenzetu na wengine walitaman aanguke kitambo kabla ht ya leo na kwa dimondi hilo sahau saiv anamabiashara yk ya kutosha yn anamtajii mzuri ht faid anayopat kimuzik ni ndogo kulikoo hz biashara kwa ss kuhus muzik hajalii sn faid anafanya km burudani zaid anategemeaa biasharaa zakee mpoo
 
Tulimwambia,,,Bashite ana nuksi,ukimgusa tuu unanuka mavi mwili mzima
 
Ni kweli utawala wake kwenye bongo fleva utafika mwisho ila sio kama mnavyolazimisha nyie iwe. Hivi unajua wimbo wa Justin Bieber "Baby" ndio wimbo unaongoza kwa DISLIKES Duniani ?
Ahahaaa asante mkuu
 
Ikabidi nifate ushahidi

e926a863b58aa95385370396a099055e.jpg
 
Ukiangalia vizuri hapo ana subscribers 561,568 then ambao wame view ni 462,850 hii ukifatilia kwa makini unaona ambao wame subscribe ndio waliotazama,sio nje ya wtu hao coz hawajazidi idadi.
 
Ni kweli utawala wake kwenye bongo fleva utafika mwisho ila sio kama mnavyolazimisha nyie iwe. Hivi unajua wimbo wa Justin Bieber "Baby" ndio wimbo unaongoza kwa DISLIKES Duniani ?
Tunamzungumzia anayetuhusu,tunayemtegemea,tunayejivunia tunayemtolea macho na kumtegea sikio achana na Bieber America wana wanamuziki lukuki wanaotamba Duniani

Lazma kuwe na hofu coz diamond km vile yupo peke yke akishuka vitashuka vingi kwenye tasnia ya bongo fleva miss you ni moto,fire kazingua,Diamond kuwa na viewers wachache kwenye nyimbo mpya kwa mda mrefu hivi ni vitu vya kudiscus ili next time fanz wapate kilicho bora zaidi
 
Back
Top Bottom