gem platnumz
Member
- Jun 7, 2021
- 12
- 10
Heh vs Tz Prisons?
Mwanzo nilitoe shukrani zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kunipa uhai huu adimu
Nije kwenye mada simba jumamosi imefungwa 3.0 na raj sio kuwa raj hawakustahili kupata ushindi mbele ya simba ila tatzo ni timu inavyocheza wachezaji wanaonekana kama wanamgawanyiko hawako pamoja pili kocha kukana kikosi chake mbele ya press confrence tatu uongozi kuwa kimya kwa yanayotokea kuhusu matokeo mabovu leo simba anacheza dhidi ya AZAM lakini huoni ile moral kama waliokuwa nayo kipindi cha nyuma tuseme ndo mwisho ya simba?
Kufungwa kunachanganya sanaHeh vs Tz Prisons?
mzee kuteleza kwa misimu karibia miwili sasaSIMBA imeteleza tu haijaanguka na haitaanguka leo ama kesho wala mtondogoo
Ahahahaa bro Mshana Jr kwenye ukweli uwe unakubali..!! Mmeteleza hadi mkarudi kinyumenyume kwa RAJA..!!!SIMBA imeteleza tu haijaanguka na haitaanguka leo ama kesho wala mtondogoo
😀😃😃😃😃😃😀😄😅😂🤣🤣😂 mgunda tenaTimu irudi kwenye mikono ya Mgunda....full stop
Umeshindwa kabisa kuisaidia?SIMBA imeteleza tu haijaanguka na haitaanguka leo ama kesho wala mtondogoo
Ulifahamu kwa njia ipi kuwa wanaonekana wamegawanyika?... tatzo ni timu inavyocheza wachezaji wanaonekana kama wanamgawanyiko hawako pamoja
Ameisaidia..!! Hukuona basi lao linarudi kinyumenyume..??Umeshindwa kabisa kuisaidia?
Haijalishimzee kuteleza kwa misimu karibia miwili sasa
Soka lina matokeo matatuUmeshindwa kabisa kuisaidia?
Mkuu, unaelewa kweli maana ya anguko, au umejianzishia tu uzi ukaipa hii title?Je hili ni anguko la Simba?
Mshana ndie aliewashauri kuendesha bus kinyumenyume!Umeshindwa kabisa kuisaidia?
Lugha hii huwa mnaitoa mkishatembezewa kichapo..!!
Duh!SIMBA imeteleza tu haijaanguka na haitaanguka leo ama kesho wala mtondogoo
Ni mtazamo wako siwezi kukupangiaLugha hii huwa mnaitoa mkishatembezewa kichapo..!!
Katika maisha kikubwa ni focus.. Wewe ndio master wa maisha yako.. Usiangalie wengine watasema niniDuh!
Kuteleza ndio kwenda kinyume nyume!!! [emoji16][emoji16][emoji16]
Kazi kweli kweli....