Je hili ni anguko la Simba?

gem platnumz

Member
Joined
Jun 7, 2021
Posts
12
Reaction score
10


Mwanzo nilitoe shukrani zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kunipa uhai huu adimu
Nije kwenye mada simba jumamosi imefungwa 3.0 na raj sio kuwa raj hawakustahili kupata ushindi mbele ya simba ila tatzo ni timu inavyocheza wachezaji wanaonekana kama wanamgawanyiko hawako pamoja pili kocha kukana kikosi chake mbele ya press confrence tatu uongozi kuwa kimya kwa yanayotokea kuhusu matokeo mabovu leo simba anacheza dhidi ya AZAM lakini huoni ile moral kama waliokuwa nayo kipindi cha nyuma tuseme ndo mwisho ya simba?
 
Heh vs Tz Prisons?
 
SIMBA imeteleza tu haijaanguka na haitaanguka leo ama kesho wala mtondogoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…