Natokea Kanda Maalum
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 749
- 1,310
yaani kila mahusiano unapima,kuna mahusiano sio rasmi unaanzisha kuvuta muda tu wakat unatafuta mtu sahihi.Kama una wasi wasi sana miezi miwili inatosha kabisa kujua afya yako nenda kapime
Mnapata wapi ujasiri wa kuanzisha mahusiano bila kupima? Kuna watu hamna uoga aisee.....Jifunze kupitia hilo.
Kwani mkuu kuna romance ya aina gani na gani?Hiyo romance uliyofanya nae ni romance ya aina gani?
Kumbuka ukimwi hauambukizi kwa kujamiana tuu.
Na baadhi ya mahusiano huwa is just for the funny siyo seriousyaani kila mahusiano unapima,kuna mahusiano sio rasmi unaanzisha kuvuta muda tu wakat unatafuta mtu sahihi.
Ndiyo unapima Mkuu kama unaijali afya yako.yaani kila mahusiano unapima,kuna mahusiano sio rasmi unaanzisha kuvuta muda tu wakat unatafuta mtu sahihi.
Asante kwa ushauri......... nitakuwa naufanyia kazi mkuuNdiyo unapima Mkuu kama unaijali afya yako.
Hayo ambayo ni ya kupita tu ndiyo huwa yanawaua, hiyo picha imefunguka yes ni ARV'S.Na baadhi ya mahusiano huwa is just for the funny siyo serious
Duh........ BTW itabidi nikapime tu hamna namnaHayo ambayo ni ya kupita tu ndiyo huwa yanawaua, hiyo picha imefunguka yes ni ARV'S.
Nakuuliza swali nawe unaniuliza swali badala ya kujibu swali?Kwani mkuu kuna romance ya aina gani na gani?
Sawa mkuu........30 comprimés
Ni sahihi kabisa
Nimekupata mkuu asantePia inategemeana na romance kuna romance nyingine unaweza pata ukimwi hata bila sex
Mf. Mdomoni kama kutakua na mchubuko wa size yeyote ile
So nenda kapime ukikuta huna rudi baada ya next three month Pima tena hapo utakua umejijua kama uko salama au lah..l
Sasa tutapima mara ngapi kama kwa wiki unakutana na bidhaa mpya mbili?Kama una wasi wasi sana miezi miwili inatosha kabisa kujua afya yako nenda kapime
Mnapata wapi ujasiri wa kuanzisha mahusiano bila kupima? Kuna watu hamna uoga aisee.....Jifunze kupitia hilo.
Fanya haraka. Mnaopima mnatusaidia sana ambao hatupimi hata kwa kushikiwa bastolaDuh........ BTW itabidi nikapime tu hamna namna