Huu upotoshaji nakutana nao Mara kwa mara , sijui kwa nini watanzania ni wavivu Wa kujisomea kiasi hiki. Yaani hata MTU msomi utakuta anaelezea watu 3/4 ya mpira ikivuka msitari ni goli. Hili jambo ukigoogle tu unapata goli linapatikanaje. JAMANI; Goli mpaka mpira wote uvuke msitari. Full stop!!Sio goli hilo, goli 3/4 ya mpira inatakiwa iwe imevuka mstari.
Halafu na wewe kwa kiwango hiki cha uelewa kesho tuanze kubishana kuhusu Arsenal na Man U?Bao hilo asilimia kubwa imevuka mstari wa goli.
sio 3/4 ni mpira wote unatakiwa kua umevuka mstariSio goli hilo, goli 3/4 ya mpira inatakiwa iwe imevuka mstari.
Kiongozi hapo unachanganya na mpira kutoka nje... yaani mpira wa kurushaMkuu unalazimisha.
Kanuni zinasemaje? Mpira unaweza kuvuka mstari lakini ikawa offside kwa mfungaji. Sheria zinadai mpira ukivuka mstari zaidi ya Nusu ni goli au ni mpaka wote? Okwwwwwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Simba 4 wao 0.
Nkosazana kwa nini umechukua Avator yangu? Hujui hiyo ni picha yangu kabisa mi mwalimu Kiboko?Good
Asiyekuelewa hata kwa picha akapimwe mkojo