wakuu habari zenu.! Chuo hiki cha Einkenford sijaelewa kuhusiana na kozi wanazotoa kuwa wanatoa diploma tu au na certificate? kwa upande maswala ya udaktari . Wanajf naombeni msaaada juu ya hili.
Hebu fafanua kauli yako mkuuUdaktari hauna cheti wala diploma.
unajua maana ya kukosoa kijana!naomba uchangie mada na sio kukosoa sawa.
naomba uchangie mada na sio kukosoa sawa.
Thankshakuna aliekukosoa udaktari ni degree tu miaka saba unaweka kalio chini
hakuna aliekukosoa udaktari ni degree tu miaka saba unaweka kalio chini
Sorry muuliza swali ameuliza kwa kiswahili nadhani udaktari ni fani ya matibabu kwa binadani, pia fani hii kwa kiswahili wale wote wanaoisomea kwa ngazi za cheti au ngazi za stashahada bado tunasema wanasomea UDAKTARI hata kama hawajafikia shahada yaani Doctor of Medicine(MD) , sidhani kama amekosea labda kama kuna kiswahili kingine...
Sorry muuliza swali ameuliza kwa kiswahili nadhani udaktari ni fani ya matibabu kwa binadani, pia fani hii kwa kiswahili wale wote wanaoisomea kwa ngazi za cheti au ngazi za stashahada bado tunasema wanasomea UDAKTARI hata kama hawajafikia shahada yaani Doctor of Medicine(MD) , sidhani kama amekosea labda kama kuna kiswahili kingine...