Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] my ribs..
This is a point maana Kuna wengine hawataki kuolewa na watu ka baba yake
Itakuwa hakuna wanaume wenye sifa za kuoa pia
Pita tu vizuri na tege lako kama banio
Aggggr! Hawa viumbe wanajiona wakamilifu mno! Nasubiri wafanikiwe kuumba watupe feedback.
Lakini bado ana amini kwamba mimi baba yake ndio mwanaume bora kuliko wanaume wote kwenye duniaHapo inamaana kuna sifa zako ambazo anazipenda na zingine hazipendi.
Ulipo changanya na vingereza, ndio umenikoroga kabisaaa...... mswahili mie + ushamba + uzee wangu huuSi mnanijua na magazeti yangu, can't define my pops in few lines, ntakuwa sijamtendea haki mfilipino wangu kabisa, afu sina mood ya magazeti leo, otherwise gazeti lake lingekamilika kesho lol
Sijawahi muomba Mungu anipe mwanaume mwenye sifa kama za baba angu, wala kuomba anipe mwanaume mwenye A, B, C, nope (it's ok pia kuomba unachokitaka as long as it is line with God's will). Huwa simply namuomba Mungu anipe ubavu wangu, mwanaume ambaye nilifanyika kutoka kwenye ubavu wake (huyu "tutaoana" tu kwenye hali zote). And naamini anaweza akaja kwenye package nayoiwish au tofauti kabisa na ile ninayoiwish. Nisije nikapishana na Boaz wangu bure, coz naconcentrate kumsubiri mrefu, kumbe nimeletewa mfupi mweeee. (What I want kinaweza kikawa tofauti kabisa na what I need..., God knows what's the best for me)
Mkuu....Huo ulevi hadi wa kumtisha binti hehe
Haha hongereni wababa wote mlio mifano bora kwa watoto na wake zenu
aaah ngoja kesho nivae pedo nikutumie utege wanguMweeeeh! Unanikumbusha wakati nilishasahau jamani, have mercy plz, nisijekimbia kwenda kuvua hiki kimini.
😀😀
Utachapwa wewe, nimecheka cos hapa nilipo nina bonge la banio yameshikilia haya makatani yangu.
Aah acha hizo banaUlipo changanya na vingereza, ndio umenikoroga kabisaaa...... mswahili mie + ushamba + uzee wangu huu
Hahahaaaa! Mbona alien, alafu ndio wako Huyo hakuna kumkimbia.Ni hapo waumbe halafu watoe vituko kuliko sisi. Binadamu sio, alien sio, mdudu sio...teh!
Cc to a handsome boy Nyani Ngabu
Uuuh sorry kwa kukumbushiaMkuu....
Mimi ni mfano m-baya sana kwa huyo unae muita mke.
Agghhhh.....[emoji51] [emoji51] [emoji51]
Ebu ngoja niishie hapa tafadhali
Hahahaaaa! Mbona alien, alafu ndio wako Huyo hakuna kumkimbia.
Haha bi mkubwa nashukuru kwa hili tege amazing, hujui tu. ...Haya mambo ya kurithi haya sio kabisa,hebu vingine muwe mnajiongeza sio mwarithi kila kitu.
Hahahaaaa! Wasije sababisha nasi tukakimbia bureeee! Maana itakuwa mtafutano, ghafla kui ataonekana malaika.Hahah!, ukimkimbia ana kukimbiza, halafu aliens wanakuwaga na maguvu kuliko binadamu...hapo chacha!
Imagine mtu anakatiza mitaa na alien yuko nyuma yake. Kwi kwi 😀