Je hili ni kweli?

Je hili ni kweli?

Si mnanijua na magazeti yangu, can't define my pops in few lines, ntakuwa sijamtendea haki mfilipino wangu kabisa, afu sina mood ya magazeti leo, otherwise gazeti lake lingekamilika kesho lol

Sijawahi muomba Mungu anipe mwanaume mwenye sifa kama za baba angu, wala kuomba anipe mwanaume mwenye A, B, C, nope (it's ok pia kuomba unachokitaka as long as it is line with God's will). Huwa simply namuomba Mungu anipe ubavu wangu, mwanaume ambaye nilifanyika kutoka kwenye ubavu wake (huyu "tutaoana" tu kwenye hali zote). And naamini anaweza akaja kwenye package nayoiwish au tofauti kabisa na ile ninayoiwish. Nisije nikapishana na Boaz wangu bure, coz naconcentrate kumsubiri mrefu, kumbe nimeletewa mfupi mweeee. (What I want kinaweza kikawa tofauti kabisa na what I need..., God knows what's the best for me)
Ulipo changanya na vingereza, ndio umenikoroga kabisaaa...... mswahili mie + ushamba + uzee wangu huu
 
Anayetamani kuoa hayajamkuta ya mkuta
Sitamani mwanamke yeyote hata awe wa kushushwa na mvua
 
Huo ulevi hadi wa kumtisha binti hehe

Haha hongereni wababa wote mlio mifano bora kwa watoto na wake zenu
Mkuu....
Mimi ni mfano m-baya sana kwa huyo unae muita mke.
Agghhhh.....[emoji51] [emoji51] [emoji51]
Ebu ngoja niishie hapa tafadhali
 
Ni hapo waumbe halafu watoe vituko kuliko sisi. Binadamu sio, alien sio, mdudu sio...teh!

Cc to a handsome boy Nyani Ngabu
Hahahaaaa! Mbona alien, alafu ndio wako Huyo hakuna kumkimbia.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hahahaaaa! Mbona alien, alafu ndio wako Huyo hakuna kumkimbia.


Hahah!, ukimkimbia ana kukimbiza, halafu aliens wanakuwaga na maguvu kuliko binadamu...hapo chacha!
Imagine mtu anakatiza mitaa na alien yuko nyuma yake. Kwi kwi 😀
 
Hahah!, ukimkimbia ana kukimbiza, halafu aliens wanakuwaga na maguvu kuliko binadamu...hapo chacha!
Imagine mtu anakatiza mitaa na alien yuko nyuma yake. Kwi kwi 😀
Hahahaaaa! Wasije sababisha nasi tukakimbia bureeee! Maana itakuwa mtafutano, ghafla kui ataonekana malaika.
 
Back
Top Bottom