Je hili ni tatizo?

Je hili ni tatizo?

Markomx

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2016
Posts
703
Reaction score
702
habarini wanajamvi

nisiende mbali sana,swala ni hili:
Huwa nasikia watu wengi wanadai wanachafua mashuka kwa kuota ndoto nyevu usiku,na wengine huenda mbali nakudai hua wanavunja madafu adi mala 2,3 kupitia ndoto pekeake

Lakini kwangu mimi ni tofauti,tangu nizaliwe japo hua naota nafanya sex lakini sijawai kufika orgasm via ndoto,ni kupitia normal sex only,ila ndoto sijawai.......Sina tatizo labda la sexual libido no,maana kuna wakat huwa nasex hadi wiki mfululizo na nikikaa wiki 2 bila sex mambo hayaendi sawa,

Lakini pamoja na vurugu zangu zote lakini sijawai kuchafua mashuka kupitia ndoto
kwa wataalamu,je hii inaweza kua tatizo?

nawasilisha
 
habarini wanajamvi

nisiende mbali sana,swala ni hili:
Huwa nasikia watu wengi wanadai wanachafua mashuka kwa kuota ndoto nyevu usiku,na wengine huenda mbali nakudai hua wanavunja madafu adi mala 2,3 kupitia ndoto pekeake

Lakini kwangu mimi ni tofauti,tangu nizaliwe japo hua naota nafanya sex lakini sijawai kufika orgasm via ndoto,ni kupitia normal sex only,ila ndoto sijawai.......Sina tatizo labda la sexual libido no,maana kuna wakat huwa nasex hadi wiki mfululizo na nikikaa wiki 2 bila sex mambo hayaendi sawa,

Lakini pamoja na vurugu zangu zote lakini sijawai kuchafua mashuka kupitia ndoto
kwa wataalamu,je hii inaweza kua tatizo?

nawasilisha
ukiona choo ndotoni usikitumie,ni mtego
 
Back
Top Bottom