Je, hili tangazo kutoka UTUMISHI kwenye mfumo wa ESS kuhusu wenye uhitaji wa kuhama vituo vya kazi kuwafuata wenzao wao limejitosheleza?

Nyaka-One

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2013
Posts
4,730
Reaction score
6,736
Tangazo halijafafanua ni taarifa žipi hasa zipelekwe kwa mwajiri na kama hizo taarifa zinahitaji kuwekewa barua ya maombi ya kuhama au la. Na kama covering letters zinatakiwa.

Je, huo muda uliowekwa unatosha kweli kwa kuzingatia usumbufu wanaokuwa nao hao wanaotakiwa kupitisha maombi kama wakuu wa shule, DEOs, DMOs, wakurugenzi n.k? Itafika deadline huku wengi wakiwa hawajawasilisha hizo taarifa.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…