Je, hili Tangazo la Tigo linalotuhimiza kupata cha 'Asubuhi cha Tigo' TCRA na Serikali wamelibariki na kuona limekaa Kimaadili?

Tangazo halina shida, shida ipo kwako wewe unaetafsiri....
 

Hili lipo mpaka ktk vyombo vya habari magazeti, vituo vya tv, stesheni za radio n.k

Inaonesha watangazaji, waandishi wa habari, wataalamu wa habari na mawasiliano, wasanii, wanamuziki, sisi watumiaji wa mitandao ya kijamii pamoja na watengeneza matangazo tunakabiliwa na upungufu ktk umahiri wa kutumia lugha na kutafuta njia ya mkato kuwasilisha ujumbe.
 
Mpemba anaitamka hivi"makunduuchi;.
 
Ila si tayari wameruhusu wanafunzi kuendelea na masomo hata wakipata ujauzito??
 
Nimekaa zangu nawaza niende kwaya,mara nikasikia tangazo la tigo wanahamasisha Cha asubuhi.kusema kweli nimewaza mbali akili yangu ikawazaaa.sijui Kama nitalala home leo niombeeni tu.namba nilishablock ila namtafuta kwenye file la emergency
Tigo mlaaniwe
 
Kwani kwenye tangazo lao, wanamalizia na piga show ya asubuhi? na hata kama si jiwe moja kuuwa ndege wawili!
 
Hapa nipo njiana naelekea Juliana 🤭🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…