Je, Hivi ni kweli kuna baadhi ya sabuni za Unga huwa zinapausha nguo ukizitumia zaidi ya mara moja au mara kwa mara?

Hawa [emoji116][emoji116][emoji116] mungu awabariki japo ni biashara lkn . Nguo hautumii nguvu nyingi kufikicha,haichubui mikono,sabuni kidogo povu lake sasa!!! Huwa nafulia nguo za mtoto hata ziwe chafu kiasi gani zingaa...

Nguo hazichakai kwakua haufikichi sana.....jaribu uone....Sina maslai na kiwanda ni uteja tu umenizidi.
 
Zamani nlikua naangalia Matangazo mtoto kachafua nguo Mama anaweka kwenye maji ya omo.. nakutoa Ina ng'aaa..

Nikawa nafua nguo za mtoto Miaka 6..hivi..kwa omo...AISEE NILIFIKICHA nikasema Kweli Hawa wamatangazo Wana lao jambo

[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] biashara ni matangazo,

Halafu omo ukifulia kwenye washing mashine utafurahi inang'arisha sana ni tofauti ukitumia mikono [emoji4]
 
Kuna sabuni ya unga inaitwa Aerial (sina hakika kama nimepatia maandishi), inauzwa ghali sana huku Arusha sijui kwanini, kuhusu sabuni ya kipande tumia White wash hutojutia, jamaa inachubua mikono.
 
Hii ni kampuni gani?
 
Ko kwenye huu uzi mnatushauri sabuni ya unga tutumie ipi???
 
Ndio zipo. Zile sabuni ambazo zimezidishwa kiwango Cha caustic soda wakitarajia zing'arishe zaidi kumbe ndo Zina pausha zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…