Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi hufikiri hawapati ndoto ila sio kwamba wapati ila hawana kumbukumbu tu kuwa wameota nini🤔Hapati ndoto sio Hana kumbukumbu
Sio nzuri halaf zinasaidia kitu kinacho saidia nnavyojua daima hua kizuri hem fafanua vyemaItakiwa wanaota ila awakumbuki kwamba wameota ndoto, kiimani sio vizuri coz ndoto. Zinasaidia kiasi flan.
Ili usiote inabidi usilale basiHabari za wakati huu.....Niko na swali Moja la kuuliza nahitaji msaada....je hivi ni kweli Kuna baadhi ya watu Huwa hawaoti kabisa Yani hawapati ndoto? Na kama ni kweli sababu ni nini? Nimejaribu kufuatilia machapisho mbalimbali pasipo kupata majibu.....
😂😂jitathimini sanaMi sijawai kuota, nalala tu.
Exactly 🫡....kingine kuamka Kwa alarm lNdoto husababishwa na shughuli za ubongo wakati wa usingizi,katika awamu ya rapidity eye movement( REM).
Sasa huu mzunguko ukiathirika ni ile mtu anasema hapati ndoto
Vitu vinavyoweza kuathiri ni pamoja na kubadili ratiba ya kulala , vilevi na kahawa , msongo wa mawazo na nk.
Mm mmoja waoHabari za wakati huu.
Niko na swali Moja la kuuliza nahitaji msaada.Je hivi ni kweli Kuna baadhi ya watu Huwa hawaoti kabisa Yani hawapati ndoto?
Na kama ni kweli sababu ni nini? Nimejaribu kufuatilia machapisho mbalimbali pasipo kupata majibu.
Ukisema hauoti(not dreaming) utakuwa haulali( not sleeping).Sijaelwa