Jibu unalo. Mtaji wako ni sh. Ngapi kama ni < = 4,000,000/= Chukua kitambulisho. Kamani > 4,000,000/= endelea na utaratibu wa zamaniHod humu jukwaan,..mimi n mjasiriamali ambae hapo mwanzo nlijisajiri na kupewa tin namba tra..na nimekuwa mlipaji mzuri tu wa kodi,..miezi michache iliyopita likaja tangazo la kwamba wote wenye mitaji chini ya milion 4, wanahitajika wawe tu na vitambulisho amabvyo vinapatikana kwa elfu 20 tu..kinachonichanganya akili ni kwamba je mimi nikikata hiki kitambulisho, tra hawatonisumbua tena kwenye mapato kama zamani au hili likoje wadau...naomba mnipe ufafanuzi kwa wenye uelewa zaidi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu unalo. Mtaji wako ni sh. Ngapi kama ni < = 4,000,000/= Chukua kitambulisho. Kamani > 4,000,000/= endelea na utaratibu wa zamani
ni mauzo ghafi kwa mwaka kama hayafiki 4,000,000 yani kwa siku mauzo yako yasizidi 11000 unapewa kitambulishoJibu unalo. Mtaji wako ni sh. Ngapi kama ni < = 4,000,000/= Chukua kitambulisho. Kamani > 4,000,000/= endelea na utaratibu wa zamani
ni mauzo ghafi kwa mwaka kama hayafiki 4,000,000 yani kwa siku mauzo yako yasizidi 11000 unapewa kitambulisho