Kamau Kingu
Member
- Feb 8, 2015
- 71
- 7
Wadau heshima kwenu,
Wakuu nimejikuta kila asubuhi napata uchovu na usingizi mzito ingawa nawahi kulala kama saa moja usiku. Pia kichwa kinauma sana, najihisi kubanwa mafua.
Note: sifanyi kazi yoyote ngumu,
Je, hizi huweza kuwa dalili za ugonjwa gani?
Wakuu nimejikuta kila asubuhi napata uchovu na usingizi mzito ingawa nawahi kulala kama saa moja usiku. Pia kichwa kinauma sana, najihisi kubanwa mafua.
Note: sifanyi kazi yoyote ngumu,
Je, hizi huweza kuwa dalili za ugonjwa gani?