Usingizi ukiuendekeza auishi hata, utasikia uchovu na usingizi kila wakati, kuhusu kichwa kunywa maji mengi, kama hali itakua mbaya nenda hosp, kuhusu mafua jaribu kucheki mashuka na neti kama ni safi, pia usafi chumbani, kama vipo safi inaweza kuwa yanakunyemelea hivyo tafuta dawa, pia kama ukiwa na mafua mara nyingi hufanya kichwa kuuma na kuleta homa.