Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Mbona hamzungumzii mayale alivyompasia dogo mwokota mipira badala yakufunga? Au hamjapigwa kwa huyu mtaalamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀Huyo kibendera ukimuona tu, unajua kabisa amekaa kimchongo kabisa
Hatujapigwa na wala hatuna utamaduni wa kulaumu wachezaji wetu kama nyie makolo, inatokea mchezaji yeyote kukosa nafasi za wazi dunianiMbona hamzungumzii mayale alivyompasia dogo mwokota mipira badala yakufunga? Au hamjapigwa kwa huyu mtaalamu?
Unamaanisha kwenye lile bonanza la juzi kile kigoli chakubabatiza? utopolo ni utopolo tu! kama jana geta bhamebhatoa kamasi je mechi zijazo yan ya kmc kisha azam fc ndo mtaelewa kama umegongwa hakuna chezaji pale ila bichwa kubwa tuHatujapigwa na wala hatuna utamaduni wa kulaumu wachezaji wetu kama nyie makolo, inatokea mchezaji yeyote kukosa nafasi za wazi duniani
Halafu kwasababu aliwafunga makolo, basi hata hana baya mwanangu Mayelle
Nimekuambia hivi kama aliwafunga makolo basi hana baya mwanangu mwenyewe Mayele na hata asipo funga tena ktk mechi nyingine ili awe anawafunga makolo tu.Unamaanisha kwenye lile bonanza la juzi kile kigoli chakubabatiza? utopolo ni utopolo tu! kama jana geta bhamebhatoa kamasi je mechi zijazo yan ya kmc kisha azam fc ndo mtaelewa kama umegongwa hakuna chezaji pale ila bichwa kubwa tu
Sijaona offside wala hujuma, nimeona uwezo mdogo wa mshika kibenderanaomba kuuliza wataalam kwenye hayo magoli yaliyokataliwa, hizo ni offside kweli?
View attachment 1961291
No hakuna offside ni tafsiri mbaya tunaomba kuuliza wataalam kwenye hayo magoli yaliyokataliwa, hizo ni offside kweli?
View attachment 1961291
Yani utoke kaburini na tauloUnataka mpaka ushuhudie nikitoka chumbani kwa bimkubwa wako nikiwa nimejifunga taulo ndy utaniheshimu?? Mimi mzee wako shika adabu yako
Umeshasema yamekataliwa kwasababu ni off side halafu unakuja hapa kuuliza km ni off side. Kwani we huko kwenu mnaitaje hiyo kitu.naomba kuuliza wataalam kwenye hayo magoli yaliyokataliwa, hizo ni offside kweli?
View attachment 1961291