MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Watakao katwa watahamia Umoja Party maisha yaendeleeKuna Wagombea wanafichiwa Fomu, kuna Wagombea wanatishwa Wasigombee, kuna Wagombea wanachafuana, kuna Wagombea wanawadharau Wenzao na kuna Wagombea pia wanasema CCM ni yao hivyo Washamba Washamba wasipoteze muda Wao kutaka kuchukua Fomu na Kugombea.
CCM kuweni sana Makini na yaliyopo!!!
CCM imejaa majangili tupuKuna Wagombea wanafichiwa Fomu, kuna Wagombea wanatishwa Wasigombee, kuna Wagombea wanachafuana, kuna Wagombea wanawadharau Wenzao na kuna Wagombea pia wanasema CCM ni yao hivyo Washamba Washamba wasipoteze muda Wao kutaka kuchukua Fomu na Kugombea.
CCM kuweni sana Makini na yaliyopo!!!
Ndugai mwenyewe ameogopa kuhamiaWatakao katwa watahamia Umoja Party maisha yaendelee
Acha kuwadisi wenzio Kama wewe hujaziona tuliaHizo sarakasi umeziona wapi na wapi? Haya Ni maneno ya kutunga tu!
Hizi ni takataka zilizoisaliti Chadema, wacha waipatapateWashamba Washamba
Mbona unamsemea?Ndugai mwenyewe ameogopa kuhamia
Niliongea naye mkuuMbona unamsemea?
Acha wang'atane hata watoane masikio,kwani Ile dhambi ya kuharibu chaguzi za 2019/2020 bado inawatafuna🤔Kuna Wagombea wanafichiwa Fomu, kuna Wagombea wanatishwa Wasigombee, kuna Wagombea wanachafuana, kuna Wagombea wanawadharau Wenzao na kuna Wagombea pia wanasema CCM ni yao hivyo Washamba Washamba wasipoteze muda Wao kutaka kuchukua Fomu na Kugombea.
CCM kuweni sana Makini na yaliyopo!!!
Sawa, msalimieNiliongea naye mkuu
Unafikiri kuwa mpinzani ni mchezo? Waulize Lowasa na Sumaye. Nakumbuka wakati Mbowe anampokea Lowasa, alimwambia karibu kwenye upinzani lakini .......... - si lelemamaWatakao katwa watahamia Umoja Party maisha yaendelee
Poa poa mkuuSawa, msalimie
Chama gani utawapata kwa urahisi? Au chama gani hakina mizengwe ya uchaguzi na upangaji safu?Ukitaka utakatifu ndani ya CCM utatafuta wee mpaka ukome utakachoambulia ni takataka tu.
Kuna Mtu anapenda kuyaanza Maisha mapya Udongoni Kaburini?Ndugai mwenyewe ameogopa kuhamia
Tukisema chama cha familia wanasema cha wakulima na wafanyakazi, nenda katazame hali za hao wenye chamaKuna Wagombea wanafichiwa Fomu, kuna Wagombea wanatishwa Wasigombee,
Jangili mkuu mwenye asili ya Somalia na uraia wa Canada amerejea kwa kasi kwa ushindi wa kishindo 100% ( kura 1850)za mkutano mkuuCCM imejaa majangili tupu
Tembo wameanza kupotea mkuuJangili mkuu mwenye asili ya Somalia na uraia wa Canada amerejea kwa kasi kwa ushindi wa kishindo 100% ( kura 1850)za mkutano mkuu
SII wamejificha mapangoni,Kwa mujibu wa Mr.kirobotoTembo wameanza kupotea mkuu