Beki wa kimataifa wa Tanzania anaecheza soka la kulipwa nchini Africa Kusini kwenye klabu ya baroka Fc inayoshiriki ligi kuu ya nchi hiyo maarufu kama ABSA PREMIER LEAGUE.
ABDI HASSAN BANDA amejitoa timu ya taifa mpaka muda wa Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania mnigeria Emmanuel Amunike utakapomalizika.
Hayo yametokana na Mara baada ya kutoa ushauri kabla ya mchezo wa Lesotho kwa kumwambia awatoe mabeki katika nafasi za mawinga na kuwaweka nafasi zao wanazochezaga. Kocha Huyo alikataa na kumtoa nje ambapo beki huyo kisiki alikabidhi jezi yake kwa wachezaji wenzake na kuwaambia hachezi tena national team mpaka muda wa Kocha huyo utapomalizika na kuamua kupanda jukwaani kukaa na mashabiki kuangalia mtanange huo ambapo Tanzania ilipoteza kwa kukubali kipigo cha goli moja kwa sifuri.**
ABDI HASSAN BANDA amejitoa timu ya taifa mpaka muda wa Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania mnigeria Emmanuel Amunike utakapomalizika.
Hayo yametokana na Mara baada ya kutoa ushauri kabla ya mchezo wa Lesotho kwa kumwambia awatoe mabeki katika nafasi za mawinga na kuwaweka nafasi zao wanazochezaga. Kocha Huyo alikataa na kumtoa nje ambapo beki huyo kisiki alikabidhi jezi yake kwa wachezaji wenzake na kuwaambia hachezi tena national team mpaka muda wa Kocha huyo utapomalizika na kuamua kupanda jukwaani kukaa na mashabiki kuangalia mtanange huo ambapo Tanzania ilipoteza kwa kukubali kipigo cha goli moja kwa sifuri.**