Je, hoja za Nyalandu zimejibiwa?

Haya mambo yangetokea wakati Magu akiwa hai (akiwa kamaliza muda wake wa Rais,akamwachia mwingine,,naamini asingekuwa mwanamama)... Nadhani Familia ya JPM inateseka kwa yanayotokea
Angekuwa Kakuru,, ndo maana akina Mjaliwa na Kubudi walianza kupanguliwa mapema,, waliambiwa ni wazee hawawezi kuwa marais.[emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nyarandu dingi bishoo anapenda show off anajua akiwa sisiemu atapata kamseleleko. Hana jipya ni snitch ka wengine.
 
MTU mpenda haki asiye muoga,mshika mawaidha ya dini asiye na tamaa,msimamia ukweli asiyefata upepo asingeweza kuhudumu kwenye serikali ya awamu ya tano!! Kulijawa ubabe,uvunjifu wa katiba na sheria,visasi na visa, ubaguzi na ukandamizaji na mengi yasiyofaa kwa msukumo wa mtu. Ilikuwa sawa Nyalandu kujiuzulu na kama MTU hayupo tena nisawa akirudi!! Membe naye arudi kwa wazee wenzake sasa
 
Wanasiasa vwatakuumiza kichwa brother focus kwenye issue zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…