Je,huenda Diaspora(wa Tz waishio nje ya nchi)wanaogopa Kulogwa?

Je,huenda Diaspora(wa Tz waishio nje ya nchi)wanaogopa Kulogwa?

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Alianza mwanamuziki mtoto wa Dandu alikuwa nchi za Scandnavia miaka nenda miaka rudi,aliporudi Bongo tu akala bata kidogo na warembo,wakamuonea wivu wakamtengenezea ajari

Wapo wabongo wengi hawataki kurudi Bongo sasa sijui what is a problem,walipokanyaga ardhi tu za Ulaya na Marekani ndio ikawa adiosi mama Jane bye bye,maana kama uchumi mnao kama mnavyojieleza TBC

Labda mtueleze kwanini mmeganda huko?au Bongo kuna Ulozi maana Bongo nayo mmmh!aijuae ni wao wenyewe wabongo na Mungu pekee.

Instagram:kaukwaju
 

Attachments

  • IMG_20180915_221302_546.jpg
    IMG_20180915_221302_546.jpg
    8.2 KB · Views: 20
Back
Top Bottom