me mfupi bwana nimeshakosa mme huu ufupi nao.......Niko dar nina miaka 38 nimeajiriwa ninahitaji mke wa kuoa awe na kazi au mfanyabiashara awe mrefu mengine hayana nafasi
me mfupi bwana nimeshakosa mme huu ufupi nao.......
Mmh, nimekuPM
Jibu haraka wakati bado nachemka.