Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Jera = jela.Mboe atafungwa miaka 60 jera
Its very low or rather shame to a Senior Police officer who doesn't even know the Police General Order procedures.Kwa Sabaya kuna watu wameumizwa na wameumizwa
Kwa Mbowe hakuna aliyeumizwa wala kulalamika , watuhumiwa wameteswa na kuumizwa na polisi , na zaidi polisi kutuonyesha kuwa hawajui PGO ni nini
Jinsitulivyoshangilia mwendazake alivyokufaNa siku Mbowe akila mvua uje ushangilie hivyohivyo
Wakuu kuhusu kilichotokea huko kwa kwa sabaya ni kama mlivosikia,swali ni je hukumu hiyo imetolewa kama kuwafumba macho watanzania ili itakapo tolewa (mvua) hukumu kwa mbowe ionekane kwamba imetenda haki??
Kwa hukumu hyo ya sabaya inaleta taswira gan kwa hukumu ijayo ya mbowe?
kua mpole boss hata hajaanza kunyolewaMpaka Sasa mbowe amekosa Nini? Mbona wanashindwa kuthibitisha makosa ya mbowe?