Tetesi: Je, huu mtego wa Tanpol dhidi ya John Mnyika utafanikiwa? Bado Mmoja TU kwa tetesi Kijana wetu anase na 2025 utakuwa mwaka wake wa MWISHO kisiasa

Tetesi: Je, huu mtego wa Tanpol dhidi ya John Mnyika utafanikiwa? Bado Mmoja TU kwa tetesi Kijana wetu anase na 2025 utakuwa mwaka wake wa MWISHO kisiasa

Wenzenu huku Mozambique moja hakai wala mbili haikai subiri tu itafika zamu yenu na nyie mtawalilia watoto zenu na baba zenu,hakuna anayeruhusiwa kutoa uhai wa mtu ni Mungu peke yake mnajifanya mmewakamata hata viongozi wa Dini wanatetea uharifu wenu lakini Mungu ni mkubwa ipo siku itailipia hii dhuruma
Dua la kuku hahaha mtateseka sana
 
Wewe jasiri umefanya nini kuzuia haya yanayoendelea au ndiyo ukishakuwa Chawa unabwabwaja tu.
Si kila anae anae mfahamu john mnyika kwa ukaribu ni chawa. Learn kujibu hoja bila kuweka hisia
Kuna watu ni majasiri, kuna watu ni waoga, kuna watu ni wa kati, ndio dunia ilivyo

Suala la mimi nimefanya nini ni out of content, out of topic, and siwez jibu hapa
 
Wewe jasiri umefanya nini kuzuia haya yanayoendelea au ndiyo ukishakuwa Chawa unabwabwaja tu.
Si kila anae anae mfahamu john mnyika kwa ukaribu ni chawa. Learn kujibu hoja bila kuweka hisia
Kuna watu ni majasiri, kuna watu ni waoga, kuna watu ni wa kati, ndio dunia ilivyo

Suala la mimi nimefanya nini ni out of content, out of topic, and siwez jibu hapa
 
Alianza wakati wa magu Sasa amekuwa konkodi hahahahahaha
Kuonyesha kiwango cha juu cha upumbavu eti unacheka! Namkumbuka marehemu Dida alisema kicheko kama chizi aliyona jalala jipya
 
Hizi ni tetesi za kweli na ni wachache watakao zipuuza ila tulio soma KYUBA mtanielewa.

Utekwaji na kuuliwa kwa Mzee Kibao Mh John Mnyika alikuwa MIONGONI MWA viongozi WALIO julishwa mapema sana yakuwa Mzee Kibao kashushwa kwenye bus na watu wasio julikana, ila Sina hakika km alikuwa MIONGONI MWA waliojulishwa yakuwa ameuawa

Kwa utekwaji wa Abdu NONDO wa Act Wazarendo mtu wa kwanza kujulishwa alikuwa john Mnyika na yeye baada ya kujua hakukaa kimnya chapu aliingia mtandaoni na kupaza sauti.
Sauti za watekwaji zitakuja na hoja yakuwa Mnyika anaongoza genge la waharifu watekaji Tanzania hahahahahaha
Je mtego huu wa watekaji kutekwa na kumpigia simu Mnyika hautokuja kumtia hatiani?

Duru za SIASA zinatuonesha Mnyika 2025 hatoboi atakuwa jera.

Inasemekana yupo Mmoja mkubwa na ni mbunge atatekwa na kupotea na mtu wa kwanza kupewa hizo taarifa atakuwa Mnyika je Tanpol km kweli wanateka watu hatuoni kuwa wamefanikiwa kumnasa Mnyika?
Na wapo viumbe humu humu wanashadadia kwanini mnyika kwanini mnyika ili kuandaa mazingira yao ya kishetani,pengine ipo haja ya kuwatambua sio tu kwa vificho vyao,ila nyendo,ushiriki wao katika uovu huu,majina,sura,kazi zao,na bosi zao wanao watuma.
 
..hoja kama hizi ni mbinu tu za kutetea waovu, na uovu wao.

..haya mambo yasipokomeshwa haraka iwezekanavyo, yataligharimu taifa mbele ya safari.
 
Back
Top Bottom