Dua la kuku hahaha mtateseka sanaWenzenu huku Mozambique moja hakai wala mbili haikai subiri tu itafika zamu yenu na nyie mtawalilia watoto zenu na baba zenu,hakuna anayeruhusiwa kutoa uhai wa mtu ni Mungu peke yake mnajifanya mmewakamata hata viongozi wa Dini wanatetea uharifu wenu lakini Mungu ni mkubwa ipo siku itailipia hii dhuruma
Wewe jasiri umefanya nini kuzuia haya yanayoendelea au ndiyo ukishakuwa Chawa unabwabwaja tu.Kwanza ni muoga sana kwa wanao mjua. Mwepesi sana kukimbia varangati
Labda wam set makusudi
Vipi wale jamaa wa gogoni upelelezi umeishiwa wapi au mnajitoa ufahamu .Akina myika mnatekana wenyewe kwa wenyewe, acheni uhuni
Si kila anae anae mfahamu john mnyika kwa ukaribu ni chawa. Learn kujibu hoja bila kuweka hisiaWewe jasiri umefanya nini kuzuia haya yanayoendelea au ndiyo ukishakuwa Chawa unabwabwaja tu.
Si kila anae anae mfahamu john mnyika kwa ukaribu ni chawa. Learn kujibu hoja bila kuweka hisiaWewe jasiri umefanya nini kuzuia haya yanayoendelea au ndiyo ukishakuwa Chawa unabwabwaja tu.
Kuonyesha kiwango cha juu cha upumbavu eti unacheka! Namkumbuka marehemu Dida alisema kicheko kama chizi aliyona jalala jipyaAlianza wakati wa magu Sasa amekuwa konkodi hahahahahaha
Na wapo viumbe humu humu wanashadadia kwanini mnyika kwanini mnyika ili kuandaa mazingira yao ya kishetani,pengine ipo haja ya kuwatambua sio tu kwa vificho vyao,ila nyendo,ushiriki wao katika uovu huu,majina,sura,kazi zao,na bosi zao wanao watuma.Hizi ni tetesi za kweli na ni wachache watakao zipuuza ila tulio soma KYUBA mtanielewa.
Utekwaji na kuuliwa kwa Mzee Kibao Mh John Mnyika alikuwa MIONGONI MWA viongozi WALIO julishwa mapema sana yakuwa Mzee Kibao kashushwa kwenye bus na watu wasio julikana, ila Sina hakika km alikuwa MIONGONI MWA waliojulishwa yakuwa ameuawa
Kwa utekwaji wa Abdu NONDO wa Act Wazarendo mtu wa kwanza kujulishwa alikuwa john Mnyika na yeye baada ya kujua hakukaa kimnya chapu aliingia mtandaoni na kupaza sauti.
Sauti za watekwaji zitakuja na hoja yakuwa Mnyika anaongoza genge la waharifu watekaji Tanzania hahahahahaha
Je mtego huu wa watekaji kutekwa na kumpigia simu Mnyika hautokuja kumtia hatiani?
Duru za SIASA zinatuonesha Mnyika 2025 hatoboi atakuwa jera.
Inasemekana yupo Mmoja mkubwa na ni mbunge atatekwa na kupotea na mtu wa kwanza kupewa hizo taarifa atakuwa Mnyika je Tanpol km kweli wanateka watu hatuoni kuwa wamefanikiwa kumnasa Mnyika?