Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kuna ndugu yangu mmoja ana account huko CRDB, ila anasema haijatimia kwa muda mrefu kidogo.
Sasa wiki ya pili anapokea jumbe za alerts kuwa account yake imepokea sh. Kadhaa, mara baada ya muda mfupi anapokea tena jumbe kuwa account yake imetolewa fedha kiasi kadhaa sawia na ile pesa iliyoingia.
Nilimwambia aangalie Salio akasema kadi hajui iko wapi na app haiko kwenye simu yake. Alihisi account kapewa mtu mwingine.
Nikamwambia watu wa benki wako makini sana hawawezi kumpa mtu account yenye usawia na ya mtu mwingine. Pia kwanini namba ya simu hawajabadili.
Mimi nimemsanua may be ni mapapa, na asipoangalia jela inamngoja maana ni pesa nyingi sana.
Milioni mia , mia na kitu, milioni tisini, milioni mia mbili n.k
Kama ni mchezo mchafu nani anaibiwa?
Pesa wanasema zimetoka kwa swift
Sasa wiki ya pili anapokea jumbe za alerts kuwa account yake imepokea sh. Kadhaa, mara baada ya muda mfupi anapokea tena jumbe kuwa account yake imetolewa fedha kiasi kadhaa sawia na ile pesa iliyoingia.
Nilimwambia aangalie Salio akasema kadi hajui iko wapi na app haiko kwenye simu yake. Alihisi account kapewa mtu mwingine.
Nikamwambia watu wa benki wako makini sana hawawezi kumpa mtu account yenye usawia na ya mtu mwingine. Pia kwanini namba ya simu hawajabadili.
Mimi nimemsanua may be ni mapapa, na asipoangalia jela inamngoja maana ni pesa nyingi sana.
Milioni mia , mia na kitu, milioni tisini, milioni mia mbili n.k
Kama ni mchezo mchafu nani anaibiwa?
Pesa wanasema zimetoka kwa swift