Nipo shuleni ofisini
Mbele yangu Kuna mzigo mkubwa wa daftari za stadi za kazi darasa la tano ninazopaswa kusahisha
Naangalia nje namuona mwalimu wa sekondari yuko bize kusimamia mtihani wa darasa la Saba
Najiuliza kwanini nisisimamie mwenyewe mwalimu wa shule ya msingi?
Je, Serikali imenichukia sana kiasi cha kuninyang'anya majukumu yangu?
Hili limenisikitisha sana nahisi nakosa furaha yangu ya kawaida hapa shuleni
Ni kawaida yangu asubuhi kuwatia moyo watahiniwa kuwa watulivu kisaikolojia ila ukweli leo nimejikuta nimeshindwa kufanya hivyo
Je, huu ni muendelezo wa serikali yetu kutudharau waalimu shule za msingi?
Mbele yangu Kuna mzigo mkubwa wa daftari za stadi za kazi darasa la tano ninazopaswa kusahisha
Naangalia nje namuona mwalimu wa sekondari yuko bize kusimamia mtihani wa darasa la Saba
Najiuliza kwanini nisisimamie mwenyewe mwalimu wa shule ya msingi?
Je, Serikali imenichukia sana kiasi cha kuninyang'anya majukumu yangu?
Hili limenisikitisha sana nahisi nakosa furaha yangu ya kawaida hapa shuleni
Ni kawaida yangu asubuhi kuwatia moyo watahiniwa kuwa watulivu kisaikolojia ila ukweli leo nimejikuta nimeshindwa kufanya hivyo
Je, huu ni muendelezo wa serikali yetu kutudharau waalimu shule za msingi?